USHAURI: Siku ya sensa iwe siku ya mapumziko kwa Rais Samia

USHAURI: Siku ya sensa iwe siku ya mapumziko kwa Rais Samia

Right3

Senior Member
Joined
Aug 16, 2015
Posts
194
Reaction score
237
Pole na majukumu mazito ya kuijenga Tanzania.

Ninapenda kuchukua nafasi hii kukuomba Rais uamrishe siku ya sensa iwe ni siku ya mapumziko.
Hii ni kwasababu zifuatazo;

1. Siku ya kwanza ikiwa ni mapumziko nina amini makarani wetu watafanya kazi nzuri kwa kua watapata taarifa nyingi na sahihi kwa kua watu watakua majumbani.

2. Baada ya siku ya kwanza makarani wanaweza kuendelea kuokoteza taarifa kwa wale ambao hawatakuwa wamefikiwa katika siku ya kwanza.

3. Ukizingatia resources ambazo tumeingiza kama nchi kwenye zoezi hili ninaamini tunatamani tupate takwimu sahihi ili tuweze kupanga mipango mujarabu ya maendeleo ya watu wetu.

4. Siku moja haina athari kubwa kwenye uchumi ukizingatia faida za sensa ambazo tutazipata kwa kupata takwimu sahihi.

5. Si rahisi kama inavyodhaniwa kila mtu kumwachia msichana wa kazi au mtu mwingine yeyote taarifa zake binafsi.

Ninatoa ushauri tu kwa maslahi ya ufanikwashwaji wa zoezi hili kwani nina mashaka kidogo pamoja na hayo kwani watu wamepumzika mara ngapi toka tupate uhuru tumepungukiwa nini au hapa tulipo ni kwa kua tulipumzika au siku moja iliamriwa kuwa public holiday.

Ninaaamini kwa matokeo makubwa muheshimiwa Rais tafadhali let AUGUST, 13 be public holiday.
 
Naungana na wewe. Siku ya sensa watu wapumze nyumbani kufanya zoezi liende kasi kwa siku hiyo kwa mafanikio. Ukweli ni kuwa kwa maisha ya siku hizi yalivyomagumu hakuna mwenye nyumba au mkuu wa kaya anaweza kubaki nyumbani kusubiria wanaohesabu watu wafike kwake atoe taarifa kwa waliolala ndani ya nyumba yake badala ya kwenda kujitafutia.

Kama siku ya sensa haitakuwa ya mapumziko kuna hatari wanaofanya zoezi hilo kufika na kukuta kwenye kaya wote wameondoka kwenda kutafuta kipato
 
Kwahiyo sensa sio public holiday? Dah! Plan ishaharibika.
 
Hivi Rais Samia nae atahesabiwa?

Au ndo mwendo wa mupe muruke?
 
Tayari kimeeleweka 👇
 

Attachments

  • Screenshot_20220818-122918.png
    Screenshot_20220818-122918.png
    152 KB · Views: 6
Pole na majukumu mazito ya kuijenga Tanzania.

Ninapenda kuchukua nafasi hii kukuomba Rais uamrishe siku ya sensa iwe ni siku ya mapumziko.
Hii ni kwasababu zifuatazo;

1. Siku ya kwanza ikiwa ni mapumziko nina amini makarani wetu watafanya kazi nzuri kwa kua watapata taarifa nyingi na sahihi kwa kua watu watakua majumbani.

2. Baada ya siku ya kwanza makarani wanaweza kuendelea kuokoteza taarifa kwa wale ambao hawatakuwa wamefikiwa katika siku ya kwanza.

3. Ukizingatia resources ambazo tumeingiza kama nchi kwenye zoezi hili ninaamini tunatamani tupate takwimu sahihi ili tuweze kupanga mipango mujarabu ya maendeleo ya watu wetu.

4. Siku moja haina athari kubwa kwenye uchumi ukizingatia faida za sensa ambazo tutazipata kwa kupata takwimu sahihi.

5. Si rahisi kama inavyodhaniwa kila mtu kumwachia msichana wa kazi au mtu mwingine yeyote taarifa zake binafsi.

Ninatoa ushauri tu kwa maslahi ya ufanikwashwaji wa zoezi hili kwani nina mashaka kidogo pamoja na hayo kwani watu wamepumzika mara ngapi toka tupate uhuru tumepungukiwa nini au hapa tulipo ni kwa kua tulipumzika au siku moja iliamriwa kuwa public holiday.

Ninaaamini kwa matokeo makubwa muheshimiwa Rais tafadhali let AUGUST, 13 be public holiday.
Unaweza usiende kazin siku hiyo ukimsubiria karani wa SENSA na KARANI asifike kwako!!...ni kazi ya siku 10 endelevu..makarani hawataweza kufika kila kaya kwa siku moja,karani mmoja kwa siku anaweza pita KAYA 10 tu na muda ukaisha hii ni kulingana na wingi wa wanakaya waliolala KAYA ili kupata taarifa za kila mwana Kaya..hiyo kuamkia usiku wa SENSA tar 22/23...cha kuzingatia ni kuacha taarifa zako kwa msaidizi wako hapo nyumbani...
 
Back
Top Bottom