Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 19,637
- 29,473
Jana nilifanya time traveling kuona matukio ya mbele ghafla niliona tarehe 20 October. Mnyama (kolo) aka Simba [emoji250] [emoji250] amekufa Kwa mvua kubwa ya magoli na miamba wa soka Al ahly.
Matokeo yalikuwa hivi
Al ahly 8 __0 Simba
Nb: Makolo mwendo wameumaliza[emoji23][emoji23][emoji23]. Kifuatacho ni aibu kwa nchi.
Matokeo yalikuwa hivi
Al ahly 8 __0 Simba
Nb: Makolo mwendo wameumaliza[emoji23][emoji23][emoji23]. Kifuatacho ni aibu kwa nchi.