Yanga walifika fainali kwenye kombe la losers baada ya kuwa wameangukia pua kwenye bkombe la mabingwa!!! kizawadi chenyewe cha kufika fainali kombe la losers ni kiduchu!! Simba itavuna sh. 6.25 bilioni!! Na ikibeba kombe itavuna zingine USD 11.5 milioni sawa na Tsh 28.75 bilioni. Hapo mchezaji gani tutashindwa kumnunua afrika hii?
Ndiyo tatizo la kubemendwa.
Labda fainali ya kucheza baoYanga atacheza champions.....ambapo anaweza fika fainali
Kumbuka zitakua za mudiYanga walifika fainali kwenye kombe la losers baada ya kuwa wameangukia pua kwenye bkombe la mabingwa!!! kizawadi chenyewe cha kufika fainali kombe la losers ni kiduchu!! Simba itavuna sh. 6.25 bilioni!! Na ikibeba kombe itavuna zingine USD 11.5 milioni sawa na Tsh 28.75 bilioni. Hapo mchezaji gani tutashindwa kumnunua afrika hii?
Elfu kumi yako baki nayo !Mkiwafunga tatu bila ALAHLY njoo uje uchukue elf kumi kwangu
Kitaeleweka tu!Al ahly sio kipanga fc