Yanga walifika fainali kwenye kombe la losers baada ya kuwa wameangukia pua kwenye bkombe la mabingwa!!! kizawadi chenyewe cha kufika fainali kombe la losers ni kiduchu!! Simba itavuna sh. 6.25 bilioni!! Na ikibeba kombe itavuna zingine USD 11.5 milioni sawa na Tsh 28.75 bilioni. Hapo mchezaji gani tutashindwa kumnunua afrika hii?
Acha kuota kojoa ukalale sio unaongea uozo humu ndani mwisho wa siku nitafufua hii comment yako mwisho wa matokeo