ommytk
JF-Expert Member
- Jul 30, 2015
- 520
- 1,143
Ushauri kwa uongozi wa soko la ilala karume kuchukua hatua za haraka kuondoa watu wanaojifanya madalali wakiona mteja kukuchukua na kukupeleka kununua kitu yaani kwanza wasumbufu wengine wananuka pombe vibaka tupu waondolewe pale haraka hakuna mtu ujui unaenda kununua kitu gani ukiwa umetoka nyumbani kwako
Wazo langu waondolewe haraka
Wazo langu waondolewe haraka