kzba
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 1,355
- 789
Nilikopa 15mil katika taasisi moja ya kifedha kama miaka 3 iliopita nikaomba wanikate makato makubwa ili nilipe kwa muda mfupi it was like 493000 kwa mwezi.
Sasa haya makato ni makubwa mno nimefanya mishe nimepata kama 10mil hv lengo langu nikafute hilo deni coz naamin balance yangu huko bank haiwezi kuzidi hyo pesa kwa muda walionika hzo pesa.
Sasa naomba ushahuri wowote wa kujenga kabla sijarudisha huu mpunga
Hivi siwezi zungusha kwa namna yeyote huu mpunga ukazaa ili unipunguzie machungu kidogo wadau au nizidabo ili maisha yaendelee?
Note: Me sio mfanya biashara na sina uzoefu wowote wa jambo hilo
Sasa haya makato ni makubwa mno nimefanya mishe nimepata kama 10mil hv lengo langu nikafute hilo deni coz naamin balance yangu huko bank haiwezi kuzidi hyo pesa kwa muda walionika hzo pesa.
Sasa naomba ushahuri wowote wa kujenga kabla sijarudisha huu mpunga
Hivi siwezi zungusha kwa namna yeyote huu mpunga ukazaa ili unipunguzie machungu kidogo wadau au nizidabo ili maisha yaendelee?
Note: Me sio mfanya biashara na sina uzoefu wowote wa jambo hilo