Ukweli utaratibu uliofanya TCU wasitambue watu waliosoma engineering science kwenda kuchukua degree hasa za science kiukweli utaratibu huu unaumiza sana watu waliosoma shule za ufundi kama Musoma, Bwiru Tech n.k.
Namuomba sana Mama Ndalichako aitambue engineering science kuwa ni sawa na physics kama ilivokuwa zamani ili watoto was Kitanzania wapate elimu juu kama wengine.
Namuomba sana Mama Ndalichako aitambue engineering science kuwa ni sawa na physics kama ilivokuwa zamani ili watoto was Kitanzania wapate elimu juu kama wengine.