Shule za tech huwa wanaopt bios na chem na phys..na huwa Wana SoMo lao la engineering. Sijajua Nini kinazingua mbaka wasichaguliwe degree hata Kama ni diploma holder, Ila tuende mbele turudi nyuma hao jamaa ni wepesi Sana Yan,.....Kuna jamaa alifanya msala shule moja ya tech Waka msuspend kwa muda, akaja skull kwet nikawa nikicheki danta zake daah wanakula Bata Sana, yaan ukichukua Engineering na phys ukilinganisha wao ni very kitonga Yan,,,, kwa tathmin ya haraka haraka phys ni ngumu Mara tat au Zaid ya engineering, may be ni kigezo, sema advantage yao wanapga vipractical Ving japo magumash tu nao, Ila ni wepes Sana achen mzaha na afya zetu ,,target yangu so kuelekeza jinsi gan hawafai, Bali kuwaeleza kuwa masomo Kama physics na math hayajawa magumu kutukomoa lahasha ni kwasabab yanasolve problems direct pia mtu akisoma masomo magumu ni rahs ku generate concepts for the new problems, pia Kama mtu atafanyia hesabu ngumu na ndefu bila kukosea za kifizikia pia tuna uhakika anauwezo wa kufanya vitu vinavohtaji umakini mkubwa bila kukosea katika field husika ...but yote Tisa kumi kwann TCU wasiwaruhusu washikaji kupenya Kama wanamatokeo mazuri diploma .. Ila engineering wepes sana