Ushauri: Tuache kukosoa stori kwa kusema "chai"

Ushauri: Tuache kukosoa stori kwa kusema "chai"

Huwezi kutuongopea sisi ... yani unatunga kabisa ...kuna mtu alituambia begi aliyokuwa nayo ilikuwa nzito sana ... lakini baada ya kuvamiwa na vibaka eti alitimua vumbi kwa mbio na begi .... siunaona kabisa hiyo ni CHAI ......... BINAFSI NAPENDA SANA KUSOMA STORY ILA SIYO YA UWONGO ZA KUTUNGA HUWA SIPENDI
 
Mkuu pole sana, acha nikushauri tu "no hard feelings" ukiwa hapa jf.

We ingia ujaze ubongo wako nondo za humu, furahi na vitu, utani na ujinga wa tu.
Ongeza ujuzi wa mambo mbalimbali ya kijamii, kisiasa n.k
Burudika na hizo simulizi lakini usitegemee saana kua zitaisha, story nyingi humu huwa haziishi mkuu.

Watu wa hivi karibuni waliomaliza story zao ni holy holm na konda msafi japo huyu ilikua ni kwa mapanga na marungu ndo story ikaisha na wengine wachache wasiozidi hata 10.
Ukiona tu "itaendelea" jua ikiendelea ni majaaliwa tu.

Jf kuna mambo mengi mnooo, fanya hayo achana kubase na masimulizi. Humu utani mwingi utapata presha buuure.
 
Mkuu pole sana, acha nikushauri tu "no hard feelings" ukiwa hapa jf.

We ingia ujaze ubongo wako nondo za humu, furahi na vitu, utani na ujinga wa tu.
Ongeza ujuzi wa mambo mbalimbali ya kijamii, kisiasa n.k
Burudika na hizo simulizi lakini usitegemee saana kua zitaisha, story nyingi humu huwa haziishi mkuu.

Watu wa hivi karibuni waliomaliza story zao ni holy holm na konda msafi japo huyu ilikua ni kwa mapanga na marungu ndo story ikaisha na wengine wachache wasiozidi hata 10.
Ukiona tu "itaendelea" jua ikiendelea ni majaaliwa tu.

Jf kuna mambo mengi mnooo, fanya hayo achana kubase na masimulizi. Humu utani mwingi utapata presha buuure.
Hapo sawa
 
Yajue ya kuzingatia..

Hakika utaokoa nafsi yako na makasiriko yasio ya maana.
 
Nashauri uongozi wa JF, utengeze namna ambayo user mmoja anaweza kum-ban/block user mwingine ambaye anaonekana ni msumbufu hasa katika lugha za kukera kama matusi, mizaha kwenye jambo serious ni mengine km aliyosema mleta mada.

Baadhi yetu tupo hapa kujifunza mambo mbali mbali na kupata new experience ya vitu mbali mbali ambavyo wengine wanapitia so anakuja mtu from no where tena unakuta hata stori yenyewe hajasoma anamwagia tu kwenye comment utasikia 'chai' it sound nowdays wale watoto wa FB wajaa sana humu so tupewe hiyo option niliyo suggests hapo juu ili kutenganisha pumba na mchele.

If you find the story is rigged just stay away from it without causing any trouble. Itakuwa bora sana. Wengine hatujajaliwa vijapi vya kuandika story msiwakatishe tamaa hao wanaotuburudisha.
 
Nashauri uongozi wa JF, utengeze namna ambayo user mmoja anaweza kum-ban/block user mwingine ambaye anaonekana ni msumbufu hasa katika lugha za kukera kama matusi, mizaha kwenye jambo serious ni mengine km aliyosema mleta mada.

Baadhi yetu tupo hapa kujifunza mambo mbali mbali na kupata new experience ya vitu mbali mbali ambavyo wengine wanapitia so anakuja mtu from no where tena unakuta hata stori yenyewe hajasoma anamwagia tu kwenye comment utasikia 'chai' it sound nowdays wale watoto wa FB wajaa sana humu so tupewe hiyo option niliyo suggests hapo juu ili kutenganisha pumba na mchele.

If you find the story is rigged just stay away from it without causing any trouble. Itakuwa bora sana. Wengine hatujajaliwa vijapi vya kuandika story msiwakatishe tamaa hao wanaotuburudisha.
Thread closed 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
 
Tatizo wanalazimisha hizo simulizi zionekane zimewatokea wao. Kwani wakianza kwa kusema hii ni simulizi ya kufikiria nani ata wagombeza kuchemsha chai ya sukari nyingi
Ukigundua kuna uongo ndani yake achana nayo, usimkatishe tamaa anayesimulia. Wengi wanavutiwa nayo
 
Sasa mkuu huoni kupangiana reaction na cha kusema ni kukosa ustaarabu kama hao tu unaowapinga ? Binafsi napenda mtu aniambie ukweli kwa jinsi yeye alivyoona na sio kupakana mafuta kwa mgongo wa chupa...

Hii tabia ndio wanayo hata viongozi wetu kila siku kusifia tu..., mwisho wa siku The emperor akiwa hana nguo watu bado tu wanamwambia amependeza...

By the way mtu kukupa muda wake kusoma nadhani ni gharama kubwa kutoka kwake hata kuliko kilobytes anazotumia kusoma huo uzi...
 
Kama unaona stori ni ya uongo na hujatozwa hela kwanini umkatishe msimuliaji tamaa?! Sisi wengine tunanufaika na simulizi za humu kwani zinatupunguzia stress.

Sasa unakuta stori ni nzuri sana na ungependa kusoma muendelezo wake, wanaibuka watu wa kumkatisha tamaa msimuliaji kwa kumuambia "unatupiga kamba" au "chai ya leo balaa" wengine wanaenda mbali zaidi na kiandika lugha mbaya! Au mods niwafundishe kazi?!

Hujaombwa hela ya bundle, kwanza humfahamu mleta story wala hujamnunulia hiyo device anayotumia kuandalia simulizi lakini unaibuka na kumkatisha tamaa!

Aisee wenye tabia hizi acheni mambo yenu ya ajabu
Kabisa mkuu wajitafakari na kujirekebisha
 
Back
Top Bottom