nngu007
JF-Expert Member
- Aug 2, 2010
- 15,860
- 5,801
Msifanya hii issue ni ya Regia Mtema; John Malecela pia alishafaidika na hii ya Ubunge wa kuteuliwa baada ya wananchi wake kumkataa alipowaambia wapanda treni "YOU CAN GO TO HELL" alikosa Ubunge lakini akateuliwa na Rais...
Kwahiyo akaendeleia na Raha ya kupata Ubunge wa Chee... Kwanini Mwanae haweki hiyo historia sasa???
Kwahiyo akaendeleia na Raha ya kupata Ubunge wa Chee... Kwanini Mwanae haweki hiyo historia sasa???