Wakuu leo katika kupitia maandishi ya gazeti la mwananchi nimekutana na kichwa cha habari kisemacho Wabunge wa viti maalum ni feki kikatiba hivyo waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera utaratibu wa bunge) Philip Marmo alisema utaratibu uemkua ukitolewa na CCM kama zawadi kwa wanawake hivyo anasema kama kuna uhitaji wa kuendeleza kutoa zawadi hizo bas litolewe pendekezo la kuingiza katika katiba.
swali ni kwamba kwa miaka yote hii ya uhuru arobani na tano ni kweli kuna mambo serikalai yetu inafanya ambayo hayapo kikatiba?
Wakuu nielimisheni maake mimi nilishakufaa siku nyingi ndo maana nataka urithi wangu wanipe niache kuona kinachoendelea.
78.-(1) For the purposes of the election of women Members of Parliament
mentioned in Article 66(1) (b), political parties which took part in the general
election in accordance with the procedure laid down and obtained at least five
percentum of the total valid voters for Parliamentary election, shall propose to the
Electoral Commission the names of women on the basis of the proportion of votes
obtained by each party in the Parliamentary election.
(2) Notwithstanding the provisions of subarticle (1), the following votes
shall be counted as valid votes for the unopposed Member of Parliament in the
constituent -
Procedure for
election of
women
Members of
Parliament
Act No.4
of 1992
Art.26
Act No.3
of 2000
Art.16
Act No.1
of 2005
Art.15
(a) where a political party has nominated a Presidential candidate,
presidential votes cast in the constituency for a Presidential
candidate from that political party;
49
G.N.No.133
of 2001
(b) where a political party has not nominated a presidential candidate,
fifty one percentum of the votes of the total voters registered in the
respective constituency.
(3) The names of the persons proposed to the Electoral Commission in
accordance with subarticle (1) shall be declared to be the results of the election
after the Commission is satisfied that the relevant provisions of the Constitution
and of other legislation have been complied with.
(4) The list of names for women candidates submitted to the Electoral
Commission by each political party for general election shall be the list to be
applied by the Election Commission after consultation of the party concerned, for
purpose of filling any vacancy of Members of Parliament of this category
whenever during the life of Parliament.