USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

USHAURI: Tubadili mfumo wa viti maalum, vifutwe!

jamani ndo maana kuna rasimu ya katiba,ni muda muafaka wa kutoa maoni ss
 
unanufaisha vyangudoa mfumo huo, uliskia wakati Fulani uchaguzi ndani ya chama wing ya wanawake, watu waliitana changudoa wakati ndo wanagombea ubosi wa kinamama, na free ticket kwenda viti maalum?? XXT
 
haina umuhmu ni kuharibu kodi zetu na WENYEVITI WA VYAMA WANAWEKA VIMADA, NYUMBA NDOGO ZAO....
Ndio maana ukifuatilia utaambiwa viti maalumu wanapewa ke tu na sio me
 
haina umuhmu ni kuharibu kodi zetu na WENYEVITI WA VYAMA WANAWEKA VIMADA, NYUMBA NDOGO ZAO....
Ndio maana ukifuatilia utaambiwa viti maalumu wanapewa ke tu na sio me

naunga mkono hoja; wabunge wa viti maalum wanazidi kushusha hadhi ya bunge, na mchakato wa katiba uwatambue mawaziri kama watendaji toka nje ya bunge wenye uwezo wa kazi na wawajibike kwa matendo yao.
 
Weweeeee! Utasababisha nyumba ndogo nyingi zivunjike
 
Watatafuta mbinu mbadala ya kuwa nao Dom, si mnaona wanavyoshupalia mchakachuo wa rasimu
 
hizo ni kama zawadi ukionyesha kiherehere,kushobokea wakati wa shuguli za kichama (kile cha jembe na nyundo) ndio unatunukiwa ukuu wa wilaya ama (vitu) i mean viti maalumu!
nafikira hivi viti maalumu lengo lake lilikuwa ni kuwatafuta watu maalumu,kama walemavu,wawakilishi wa wanawake na watoto na vitu kama hivyo.!
lakini wenye mamlaka wameamua kugeuza ni viburudisho vyao,vinapata hizo nafasi!! ah hili linchi magumashi kila kitu.!
 
Ukifuatilia kwa makini yanayojiri bungeni utagundua kuwa wabunge wote wanapiga makofi na kupiga vifijo hata kwa jambo lisilo na tija kwa taifa letu ni hao wabunge maalum.
 
Ukifuatilia kuna wengine tangu waingie bungeni hawajawahi kuikosoa serikali,bali wao ni kuunga mkono hoja ya serikali 100%,na kuzomeazomea.kimsingi hawana mchango wowote wenye tija kwa watanzania.
 
wabunge wa viti maalum bungen baadhi yao wanaonekana waz hawajui au ht km wanaju basi wanaamuwa kuwafraisha walio wateua badala ya kutetea maslahi ya nch.kz yao kubwa ni kupongeza serikali ht km sio pahala pake.
 
Wakuu leo katika kupitia maandishi ya gazeti la mwananchi nimekutana na kichwa cha habari kisemacho Wabunge wa viti maalum ni feki kikatiba hivyo waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu (sera utaratibu wa bunge) Philip Marmo alisema utaratibu uemkua ukitolewa na CCM kama zawadi kwa wanawake hivyo anasema kama kuna uhitaji wa kuendeleza kutoa zawadi hizo bas litolewe pendekezo la kuingiza katika katiba.

swali ni kwamba kwa miaka yote hii ya uhuru arobani na tano ni kweli kuna mambo serikalai yetu inafanya ambayo hayapo kikatiba?

Wakuu nielimisheni maake mimi nilishakufaa siku nyingi ndo maana nataka urithi wangu wanipe niache kuona kinachoendelea.
78.-(1) For the purposes of the election of women Members of Parliament
mentioned in Article 66(1) (b), political parties which took part in the general
election in accordance with the procedure laid down and obtained at least five
percentum of the total valid voters for Parliamentary election, shall propose to the
Electoral Commission the names of women on the basis of the proportion of votes
obtained by each party in the Parliamentary election.
(2) Notwithstanding the provisions of subarticle (1), the following votes
shall be counted as valid votes for the unopposed Member of Parliament in the
constituent -
Procedure for
election of
women
Members of
Parliament
Act No.4
of 1992
Art.26
Act No.3
of 2000
Art.16
Act No.1
of 2005
Art.15
(a) where a political party has nominated a Presidential candidate,
presidential votes cast in the constituency for a Presidential
candidate from that political party;
49
G.N.No.133
of 2001
(b) where a political party has not nominated a presidential candidate,
fifty one percentum of the votes of the total voters registered in the
respective constituency.
(3) The names of the persons proposed to the Electoral Commission in
accordance with subarticle (1) shall be declared to be the results of the election
after the Commission is satisfied that the relevant provisions of the Constitution
and of other legislation have been complied with.
(4) The list of names for women candidates submitted to the Electoral
Commission by each political party for general election shall be the list to be
applied by the Election Commission after consultation of the party concerned, for
purpose of filling any vacancy of Members of Parliament of this category
whenever during the life of Parliament.
 
Wana jamvi nisaidien utaratibu wa jinsi ya kuwapata wabunge wa vitu maalum! wanateuliwa na rais kwa utaratibu upi na vigezo gani.

Je ni kulingana na uwioano wa majimbo waliyochukua chama tawala na vyama pinzani?au mh.anateua tu randomly?

Mwenye uelewa juu ya utaratibu huo aweke hadharan
 
wewe viti maalum hawateuliwa na rais . wabunge viti maalum wanachaguliwa na wajumbe wa uwt mkoa mzima. kila kata inatoa wajumbe watano : mwenyekiti uwt kata, katibu uwt kata,mjumbe wa mkutano mkuu uwt mkoa. katibu mhasishaji . kila kata wajumbe hao hukutana mkoani wanapiga kura kupata mbunge. hiyo ni hatua ya kwanza , lakinj hatua ya pili inaangaliwa idadi ya wabunge wa majimbo ambao chama kimepata inatafutwa asilimia ndipo tume wanapokuja na jibu la idadi ya wabunge kwa kila chama. halafu baadae ikishatoka idadi ya wabunge kwa kila chama ndipo wale walio shinda mikoani wanaitwa na kuambiwa . Kwa mfano kama wabunge walio chaguliwa ni wengi na chama kimepata nafasi chache chama kinaandaa utaratibu wa kupunguzana wenyewe ili kupata idadi sahihi inayohitajika na tume ya taifa ya uchaguzi . mfano kwa ccm katika uchaguzi wa 2005 ccm walikuwa na wabunge wengi wa majimbo hivyo wakapata wabunge wengi wa viti maalum lakini 2010 walipoteza majimbo mengi hivyo ikabidi idadi ya wabunge wa ccm wa viti maalum ipungue toka 92 hadi 60 , na wakati wao ccm waliandaa wabunge 92 wa viti maalum wakijua watapata majimbo mengi , matokeo yake ikabidi chama kiwapunguze hadi 60. na utaratibu ulio tumika ulikuwa ni kuandika namba vikaratas hadi 92 na kuvitupa chini na kila mbunge akitakiwa kuokota na aliyeokota 1-60 ndiye aliyepita na aliyeokota 61-92 aliondolewa . kwa hiyo nafas 22 za wabunge viti maalum wakapewa chadema . huo ni utaratibu ndanj ya ccm , kila chama kina utaratibu wake , wao chadema kila mbunge mwanamke aliyegombea kwenye jimbo na akashindwa ndio walio pewa nafasi za viti maalumu. kwa chadema sharti ugombee jimboni ukishindwa unapewa viti maalum . kigezo cha ushindan wao ni idadi ya kura ulizopata jimboni kwako. na uchaguzi wao ni tarehe 2/8 kama sikosei
 
wewe viti maalum hawateuliwa na rais . wabunge viti maalum wanachaguliwa na wajumbe wa uwt mkoa mzima. kila kata inatoa wajumbe watano : mwenyekiti uwt kata, katibu uwt kata,mjumbe wa mkutano mkuu uwt kata, katibu mhasishaji . kila kata wajumbe hao hukutana mkoani wanapiga kura kupata mbunge. hiyo ni hatua ya kwanza , lakinj hatua ya pili inaangaliwa idadi ya wabunge wa majimbo ambao chama kimepata inatafutwa asilimia ndipo tume wanapokuja na jibu la idadi ya wabunge kwa kila chama. na uchaguzi wao ni tarehe 2/8 kama sikosei

Utaratibu uliuandika hapa ni Wa kiccm zaidi, kwa baadhi ya vyama tumeshuhudia sifa ya kwanza uwe kimada Wa viongozi, na undugu
 
Utaratibu uliuandika hapa ni Wa kiccm zaidi, kwa baadhi ya vyama tumeshuhudia sifa ya kwanza uwe kimada Wa viongozi, na undugu

mbona unamtisha mwenzako mkuu, kama ni mwanamke huoni kama atakata tamaa na kama ni mwanaume aliyeulizia na anataka kumchukulia fomu mke wake si anaweza kughairi kwa sentensi yako hiyo.. Huwa najiuliza huyo mwanamke atalala na viongozi wangapi , na sharti alale na nani ? mwenyekiti , katibu au nani
 
Back
Top Bottom