Ushauri: Uchaguzi wa Nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA ufanyike baada ya Oktoba 2025

Ushauri: Uchaguzi wa Nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA ufanyike baada ya Oktoba 2025

Mbowe aliahidi kustaafu. Sijui mama kamwambia Nini kahairisha kustaafu.
 
Tunataka kuona mnyiramba nae anaaminika kuongoza chadema. Kwani lazima mchaga aongoze mpaka kufa kwake?
Pia Mimi naliafiki Hilo,

Ila lifanikiwe baada ya October 2025,

BUSARA itumike Si mihemko!!

Chama kinatakiwa kishikamane Kwa UMOJA, homa ya Uchaguzi usiruhusiwe kuharibu utulivu ndani ya chama.
 
Mbowe aliahidi kustaafu. Sijui mama kamwambia Nini kahairisha kustaafu.
Aandike barua na kukabidhi mara Moja chamani kuwa HATOGOMBEA Uenyekiti.

Jitiada zake Kwa sasa ahakikishe CHADEMA inashika Dola 2025.

Mbowe ajue wakati huu wa uongozi wa huyo wanaemwita mama, ndio wakati sahihi wa kuitoa CcM madarakani.
 
Pia Mimi naliafiki Hilo,

Ila lifanikiwe baada ya October 2025,

BUSARA itumike Si mihemko!!

Chama kinatakiwa kishikamane Kwa UMOJA, homa ya Uchaguzi usiruhusiwe kuharibu utulivu ndani ya chama.
Apewe mtu uongozi aongoze kwenye mchakato wa uchaguzi. Mbowe atalindwa mpaka lini?
Chama sio mali ya Mbowe kinaendeshwa kwa kodi zetu watanzania, we have interest there
 
Napinga kabisa ushauri wako, lingine ni hili, Hakuna popote ambapo Chadema imesambaratika, achana na porojo unazozisikia

Halafu hizi Chaguzi si kwa matakwa ya mtu zinafanyika kwa mujibu wa sheria, hatuwezi kuwa kama TLP au UDP kisa hofu ya kusambaratika
 
Apewe mtu uongozi aongoze kwenye mchakato wa uchaguzi. Mbowe atalindwa mpaka lini?
Chama sio mali ya Mbowe kinaendeshwa kwa kodi zetu watanzania, we have interest there
Kwa kuwa huo ndio mzizi wa tatizo unaofanya Msigwa Kutoka nje ya mstari kujikuta anajaribu image ya chama,

Ndio maana ninashauri, chaguzi zingine ziendelee, ila nafasi ya Uenyekiti ifanyike baada ya Uchaguzi,

Kufanya hivi, kuwaondoa siasa za kuhujumiana na kurudisha UMOJA ndani ya chama,

Hili unalionaje ndugu?
 
Napinga kabisa ushauri wako, lingine ni hili, Hakuna popote ambapo Chadema imesambaratika, achana na porojo unazozisikia

Halafu hizi si kwa matakwa ya mtu zinafanyika kwa mujibu wa sheria, hatuwezi kuwa kama TLP au UDP kisa hofu ya kusambaratika
Ni ushauri tu,

Ukipuuzwa ni sawa pia ndugu yangu, Sina maslah binafsi CHADEMA zaidi ya kutaka kuona DEMOKRASIA ndani ya vyama na HAKI ikitamalaki.
 
Ni ushauri tu,

Ukipuuzwa ni sawa pia ndugu yangu, Sina maslah binafsi CHADEMA zaidi ya kutaka kuona DEMOKRASIA ndani ya vyama na HAKI ikitamalaki.
Chadema ina demokrasia iliyotukuka, ndio maana Msigwa kaongea bila hata kuonyeshwa Bastola kama alivyofanyiwa Nape, pamoja na kutokuwa na ushahidi wowote kawatqja watu kwa majina lakini rufaa yake imepokelewa, kakataa msimamizi kawekewa aliyemchagua yeye mwenyewe napo bado hakuridhika, ndiyo Demokrasia
 
Chadema ina demokrasia iliyotukuka, ndio maana Msigwa kaongea bila hata kuonyeshwa Bastola kama alivyofanyiwa Nape, pamoja na kutokuwa na ushahidi wowote kawatqja watu kwa majina lakini rufaa yake imepokelewa, kakataa msimamizi kawekewa aliyemchagua yeye mwenyewe napo bado hakuridhika, ndiyo Demokrasia
Ninyi mlio ndani ya chama, mnaoegemea upande Fulani, Si Rahisi kuyaona ninayoshauri.

Uamuzi utabaki chamani, mkipuuza sawa, mkipokea pia sawa.

Thread hii itakuwa rejea huko mbeleni Kwa maamuzi yoyote yatakayofikiwa na chama.

Mwisho wa siku, yote haya, ni Kwa Nia njema kuhakikisha HAKI na DEMOKRASIA ya Kweli na uhuru unaheshimiwa.
 
Kwa kuwa huo ndio mzizi wa tatizo unaofanya Msigwa Kutoka nje ya mstari kujikuta anajaribu image ya chama,

Ndio maana ninashauri, chaguzi zingine ziendelee, ila nafasi ya Uenyekiti ifanyike baada ya Uchaguzi,

Kufanya hivi, kuwaondoa siasa za kuhujumiana na kurudisha UMOJA ndani ya chama,

Hili unalionaje ndugu?
Kwa hiyo chadema ni Mbowe?
Why msigwa ndio anaharibu image ya Chadema si mbowe anaharibu image ya Chadema?
Hiki chama mtanzania wa kabila lolote apewe haki ya kugombea
 
Kwa hiyo chadema ni Mbowe?
Why msigwa ndio anaharibu image ya Chadema si mbowe anaharibu image ya Chadema?
Hiki chama mtanzania wa kabila lolote apewe haki ya kugombea
Agombee tu bila shida, ila nimeshauri iwe baada ya October 2025.

Mtifuano unaendelea ni WA kupanga safi Kwa ajili ya nafasi hiyo, hivyo nafasi hiyo ikisogezwa mbele,

Mnyukano utaondoka, UMOJA na mshikamano utarudi na ushindi dhidi ya CCM utakuwa dhahiri.
 
Ninyi mlio ndani ya chama, mnaoegemea upande Fulani, Si Rahisi kuyaona ninayoshauri.

Uamuzi utabaki chamani, mkipuuza sawa, mkipokea pia sawa.

Thread hii itakuwa rejea huko mbeleni Kwa maamuzi yoyote yatakayofikiwa na chama.

Mwisho wa siku, yote haya, ni Kwa Nia njema kuhakikisha HAKI na DEMOKRASIA ya Kweli na uhuru unaheshimiwa.
Nishakuambia uchaguzi huu siyo hiyari ya Chadema ni matakwa ya sheria za vyama vya siasa, isipoufanya yaweza hata kufutiwa usajili, maana watawala wanatafuta upenyo tu

Kuahirisha kwa sababu kama hizo zako za kuogopa kusambaratika itakuwa kamari ya kijinga sana!
 
Nafasi ya Mwenyekiti wa Chama Cha DEMOKRASIA na Maendeleo ( CHADEMA) imekuwa na kelele nyingi sana wakati huu kuliko wakati mwingine wowote.
Kelele kazileta Mbowe. Kulikuwa na ubaya gani yeye kutimiza ahadi yake ya 2022 aliposema ataachia uenyekiti? By the way amekaa sana mpk amekerahisha nafsi za wapenzi, wafurukutwa na wanachama wa chadema.
 
Chakale ni chakavu. Nakama ni chakavu kikalibu na kutoweka. Kwa kipindi ambacho mh mbowe amekiongoza chama nadhani kwa sasa Nimuda muafaka wakukabizi kijiti kwa Lissu au Heche

Siyo dhambi mbowe akibaki kama mshauri wa chama. Kama ambavyo chadema wanatamani kushika dora vifvyo hivyo watanzania wanatamani kuiona demokrasia inaanzia ndani ya chama

Watu wanatamani kuona chadema ikitoa dira ya uongozi bora unao ubiliwa ndani ya chama kabra hata ya kukabidhiwa hiyo dora wanayoitaka
 
Katiba yao inasemaje?Mkutano mkuu ni kila baada ya muda gani,agenda ni zipi?
 
Back
Top Bottom