Ushauri: Uhamiaji irudishwe wizara ya ulinzi

Ushauri: Uhamiaji irudishwe wizara ya ulinzi

technically

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2016
Posts
12,706
Reaction score
52,355
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
 
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
Mkuu, kwanini MoD ndio hakuna corrupt officials??
 
Wizara ya Ulinzi nao wameanza kukamatwa na uchawa.

How comes wanaagiza magari ya wanaruhusu yachukuliwe na CCM.

Suluhisho la msingi kwenye haya ni Katiba Mpya na kuiondoa madarakani CCM maana kwa namna ujinga wa CCM ulivyowezesha Tanzania kuingiliwa na mapandikizi siku si nyingi tutaipoteza hii nchi.
 
Wizara ya Ulinzi nao wameanza kukamatwa na uchawa.

How comes wanaagiza magari ya wanaruhusu yachukuliwe na CCM.

Suluhisho la msingi kwenye haya ni Katiba Mpya na kuiondoa madarakani CCM maana kwa namna ujinga wa CCM ulivyowezesha Tanzania kuingiliwa na mapandikizi siku si nyingi tutaipoteza hii nchi.
Daaah, MoD imejiingiza kwenye siasa?? Aisee..
 
Wazo lako zuri sana kaka

Shida ni kitendo cha nchi yetu kupata mkuu wa nchi legelege, huyu rais katukost sana watanganyika

Juzi mkuu wa MAJESHI anamwambia rais Kuna watu ni viongozi lakini siyo raia na jirani yetu CONGO hayuko salama lazima tufanye jambo

Jibu lake sasa chura kiziwi utachoka kabisa ukilisikia
 
Wizara ya Ulinzi nao wameanza kukamatwa na uchawa.

How comes wanaagiza magari ya wanaruhusu yachukuliwe na CCM.

Suluhisho la msingi kwenye haya ni Katiba Mpya na kuiondoa madarakani CCM maana kwa namna ujinga wa CCM ulivyowezesha Tanzania kuingiliwa na mapandikizi siku si nyingi tutaipoteza hii nchi.
Point. ✔️
 
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
Nenda kwenye kiini Cha tatizo kukomwsha. Ufisadi na rushwa hata JWTZ wanaweza kuingia mtegoni watakapo kutana na pesa za bure Ili umtimizie mtu shida yake ambayo kwa ofisa ni kitu rahisi Cha kufumba na kufumbua.
Kwa maoni yangu nadhani hakuna ufuatiliaji na muhimu zaidi ni adhabu Kali kwa wapokea rushwa.
 
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
Unataka kuliingiza jeshi kwenye ulaji wa rushwa?! Ni mwanajeshi gani hataki kuwa na magari au majumba mazuri kwa hela za kificho? Salama ya jeshi letu kutokuwa karibu na rsluhwa ni kuepushwa na mwingiliano na shughuli za kijamii. Haimanishi wanajeshi ni waadilifu sana. Kama huamini nenda kaombe tender jeshini kisha uipate, uone ni wanajeshi wangapi wa vyeo vya juu watataka uwawekee cha juu kwenye hiyo tender.
 
Sakata la wale wachezaji wa Singida ni aibu kwa idara hii. Hilo moja tumelijua je hao wasomali wanaojazana kariakoo.

Kuna kitu tunakitafuta tutakipata.
Mwenye mamlaka ya kumpa mtu uraia ni waziri wa mambo ya ndani na sio kamishna jenerali wa Uhamiaji.

Immigration wapo vizuri ila usisahau msimamizi mkuu ni mwanasiasa.
 
Ni kweli kabisa!
Hata hivyo Uhamiaji wanaweza kushirikiana na JWTZ bila hata kuhamishwa.
Naamini huenda JWTZ wana Security System ya kwao ya kuwajua wageni wanaoingia! Kwani CDF alijuaje kuwa Wahamiaji wako hata kwenye vyombo vya Maamuzi?
 
Tatizo lilipo ni kuchanganya siasa na mifumo ya nchi kaka
If leo mtu kama mwijaku anaweza kumchomgea waziri yeyote kwa raisi na akatimuliwa
Kama tanzania tunapoenda ni mbali kuliko tulipo toka😞
Sawa anaweza kumchongea waziri yeyote kwa kiongozi ambaye ni wale wale kwa kuwa watu wenye akili hawakuwania huo uongozi. Wakati wa kutafuta hao viongozi wenye akili walikuwa wanapita tu na magari yao mwisho wa siku akina Babu Tale wakapita
 
Sawa anaweza kumchongea waziri yeyote kwa kiongozi ambaye ni wale wale kwa kuwa watu wenye akili hawakuwania huo uongozi. Wakati wa kutafuta hao viongozi wenye akili walikuwa wanapita tu na magari yao mwisho wa siku akina Babu Tale wakapita
Failer of upper leadership system
 
Back
Top Bottom