Ushauri: Uhamiaji irudishwe wizara ya ulinzi

Ushauri: Uhamiaji irudishwe wizara ya ulinzi

Nadhani ingeundwa Idara katika jeshi inayojihusisha na ulinzi wa mipaka ya nchi kavu na majini. Jeshi la uhamiaji liingizwe huko Ili iwe rahisi kufanya patrol mipakani. Huku maofisini wabaki watu wachache sana wa kuhudumia mambo ya vibali pasi n.k. ...Maofisini ziachiwe komputa zichakate taarifa na kutoa vibali.
 
Dunia mzima home affair ndio Uhamiaji.
Kitakuwa kituko Cha mwaka wakipelekwa wizara ya Ulinzi although baadhi ya kazi zao zaweza kuwa zinaingiliana.

Wabaki na majukumu Yao ya kudhibiti mipaka na vipenyo ila waongezewe askari wa kwao yaani waajiri na vifaa pamoja na siraha
 
Wazo lako zuri sana kaka

Shida ni kitendo cha nchi yetu kupata mkuu wa nchi legelege, huyu rais katukost sana watanganyika

Juzi mkuu wa MAJESHI anamwambia rais Kuna watu ni viongozi lakini siyo raia na jirani yetu CONGO hayuko salama lazima tufanye jambo

Jibu lake sasa chura kiziwi utachoka kabisa ukilisikia
Link ya jibu
 
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
Ni ushauri mzuri lakini duniani kote ipo hivyo, ni wizara ya mambo ya ndani ndo hushughulikia uhamiaji.

Suala la uhamiaji ni gumu hata kwa nchi ziloendelea kama Marekani na Uingereza lakini wao huchukua hatua sahihi kukabiliana na tatizo kama hilo.
 
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
"Na Mimi nataka niseme watanzania mtanikumbuka. Na mtanikumbuka kwa mazuri na si kwa mabaya kwasababu nime sacrifice maisha yangu kwa wananchi masikini"
 
Sakata la wale wachezaji wa Singida ni aibu kwa idara hii. Hilo moja tumelijua je hao wasomali wanaojazana kariakoo.

Kuna kitu tunakitafuta tutakipata.
Usilolijua ni sawa na usiku wa kiza kinene. Kabla ya kulaumu na kushutumu, jifunze kujielimisha kwanza. Nakushauri uende ukapitie Sheria ya Uraia, huenda utakuja na maoni tofauti na haya.
 
katika akili unaamini kabisa kuwa JWTZ ni waadilifu sana? Pole sana mkuu
 
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
Yaani wewe una mawazo mazuri sana. Lakini sidhani kama ccm watakubali. Kama uliangalia mkutano wao mkuu utabaini kuwa wenye asili ya nje walikuwa wengi
 
Sakata la wale wachezaji wa Singida ni aibu kwa idara hii. Hilo moja tumelijua je hao wasomali wanaojazana kariakoo.

Kuna kitu tunakitafuta tutakipata.
Alafu kuna wale wachina, waarabu na wachina wengi sana kwenye shughuli mbali mbali za ccm
 
H
Wazo lako zuri sana kaka

Shida ni kitendo cha nchi yetu kupata mkuu wa nchi legelege, huyu rais katukost sana watanganyika

Juzi mkuu wa MAJESHI anamwambia rais Kuna watu ni viongozi lakini siyo raia na jirani yetu CONGO hayuko salama lazima tufanye jambo

Jibu lake sasa chura kiziwi utachoka kabisa ukilisikia
Hebu tupia jibu alilotoa maana skuwah kuskia.
 
Nashauri Uhamiaji irudishwe Wizara ya ulinzi wafanye kazi na JWTZ.

Katika nyakati hizi ambazo Wizara ya Mambo ya ndani ni very corrupt nashauri Uhamiaji uwe chini ya TPDF.

Maana JWTZ wanahusika na Mambo ya ulinzi wa mipaka ya nchi hivyo nashauri wawe ndio wakaguzi wa uraia wa watu wote wanaotiliwa mashaka na jamuhuri.

Uhamiaji kwa Sasa utendaji wao unatia mashaka ili kurudisha nidhamu ya jeshi la Uhamiaji nashauri
Uhamiaji uwe ndani ya Wizara ya ulinzi wa nchi.
Lini walikuwa chini ya wizara ya Ulinzi
 
Back
Top Bottom