Ushauri unahitajika: Je, nimueleze kama Mama yake Kafariki?

Ushauri unahitajika: Je, nimueleze kama Mama yake Kafariki?

Midekoo

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2015
Posts
45,757
Reaction score
246,786
Kuna mdogo wangu alifariki akaacha mtoto wa miezi 3 mwaka 2000 yule mtoto akalelewa na Mama alipofikisha miez 8 akachukuliwa na Mdogo wangu wa mwisho akaishi nae alipofikisha mwakana nusu yule mdogo wangu nae akafariki

Nikamchukua mimi kumlea mpaka sasa anajua mimi ndiye mama yake wa kumzaa , Mpaka sasa ana umri wa miaka 17, hajui kama mama yake amefariki. Je nimuache au nimueleze ukweli kwamba yeye ni Yatima hana wazazi.
 
Kuna mdogo wangu alifariki akaacha mtoto wa miezi 3 mwaka 2000 yule mtoto akalelewa na Mama alipofikisha miez 8 akachukuliwa na Mdogo wangu wa mwisho akaishi nae alipofikisha mwakana nusu yule mdogo wangu nae akafariki , nikamchukua mimi kumlea mpaka sasa anajua mimi ndiye mama yake wa kumzaa , Mpaka sasa ana umri wa miaka 17, hajui kama mama yake amefariki. Je nimuache au nimueleze ukweli kwamba yeye ni Yatima hana wazazi.
Its very hard to tell the truth but ni bora utafute mda mwafaka na umwelexee ukweli

Sent from my Bravo Z11 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie.coz sasa hivi ni mkubwa atakuelewa.sio vizuri sikusikia kwa watu.
 
Swali la kujiuliza ni hili; Kwa nini unataka kumueleza?? Amekuwa akikuuliza kuwa je wewe ni mama yangu au?? Na kama kakuuliza, ni kitu gani kilimfanya akakuuliza hilo swali??
Angalia, kama ungelikuwa unamfanyia hiana asingelifikia umri huu bila kujua ukweli. Yeye amekujua kama mama yake imetosha. Humdai malipo ya kumtunza, humkatai katika uzee wake, sasa kinachokufanya umwambie kuwa weye sio mamake ni kitu gani??
Kama wakiitwa wazazi wake tangu akiwa mdogo si ni wewe ulienda?? Mbona unakuja kataa mtoto wako uzeeni? Acha kabisa hayo maneno unayotaka kumhuzunisha nayo. Sio mazuri
 
Me kabla ya ushauri naswali
Je babake yuko wapi?
Hilo swali na mtoto ndo atakaloanza kukuliza kwa kuwa anajua wewe ndo mamake

Sent from my Infinix-X600 using JamiiForums mobile app
 
Acha kabsa....Kwan akiskia kwa watu wengine nawe ukamwambia si kwel wew ndo mzaz wake tatzo liko wapi?

Sent from my SM-N9005 using JamiiForums mobile app
 
Hongera kwa malezi mn ungekuwa na malezi ya kibaguzi naamini angeshajua ukweli. By then huenda alishaambiwa na watu ila hajakushirikisha tu.

Nakushauri nikiwa na akili timamu isiyo na shaka kuwa usimwambie kabisaaa mwache ajue wewe ndie mamake, nasema hivi kwa sababu ukimwambia huenda kuna siku ulimpiga akiwa hajui kosa hivyo ukimwambia atarudi nyuma na kusema ndo maana naonewa au nilionewa kumbe sio mamangu.

Usimwambie na endelee kumlea katika njia zimpendezazo mungu watu

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
 
Mwambie ukweli tu ataumia lakini atakubaliana na ukweli kuliko badae aje asikie kwa watu wengine ataumia na kukuchukia zaidi kwa nini miaka yote haujamuambia ukweli
 
Hongera kwa malezi mn ungekuwa na malezi ya kibaguzi naamini angeshajua ukweli. By then huenda alishaambiwa na watu ila hajakushirikisha tu.

Nakushauri nikiwa na akili timamu isiyo na shaka kuwa usimwambie kabisaaa mwache ajue wewe ndie mamake, nasema hivi kwa sababu ukimwambia huenda kuna siku ulimpiga akiwa hajui kosa hivyo ukimwambia atarudi nyuma na kusema ndo maana naonewa au nilionewa kumbe sio mamangu.

Usimwambie na endelee kumlea katika njia zimpendezazo mungu watu

Sent from my TECNO-C9 using JamiiForums mobile app
Jiongeze mkuu kwa nini asiambiwe ukweli huyoo mama yake mlezi akifa?

my phone is nokea ya jeneza(kidole juu)
 
Hataree sana!

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
kila mtu ana haki ya kujua ukweli na dogo lazma atakuja kujua tatzo ataujuaje??
utamwambia ww kwa utaratibu mzuri au atasikia kwa ndugu na majiran in gossip
ni vzr mkamwambia ukweli mapema kama kuna pics za wazazi wake mkampa akajijua yy ni nan

Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom