jamii01
JF-Expert Member
- Oct 1, 2010
- 1,983
- 1,423
Usimwambie kwa sasa wacha afikishe maisha ya kuanza kujitegemea miala 17 bado ni mdogo sana ..
Mwache asikie kwa watu lakini si kwamwambia wewe..
Watu kama hao wakifanikiwa huwa wanakumbuka sana walezi wao kuliko hata watoto wako wakuzaa mwenyewe..
Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app
Mwache asikie kwa watu lakini si kwamwambia wewe..
Watu kama hao wakifanikiwa huwa wanakumbuka sana walezi wao kuliko hata watoto wako wakuzaa mwenyewe..
Sent from my SHV-E250S using JamiiForums mobile app