Ushauri unahitajika: Je, nimueleze kama Mama yake Kafariki?

Ushauri unahitajika: Je, nimueleze kama Mama yake Kafariki?

Mjeengee msingi bora wa maisha mpaka atakapo kua na uwezo wa kujitegemea

Post sent using JamiiForums mobile app
 
hongera kwa kumlea hadi kufikisha umri huo,mwambie ukweli tena the early the better.
 
Kaa ukijua huyo nimwanao maadam nimtoto wa mdogo wako, kutokumueleza ni vizuri na kumueleza ni vizuri pia! Kama amewahi ambiwa huko nje na wahenga kuwa wewe si mamake mzazi na yeye akakuuliza basi yakubidi nawewe umueleze tena umueleze vizuri ukizingatia ako kahistoria kanatia uchungu sana, watu wawili wamefariki ambao walikuwa nitegemeo lake; moja mamake pili mamake aliyemchukua baada ya mamake kufariki naye akafariki na baadaye wewe ndo ukamchukua!

Ila kama hajapata tetesi toka kwa wahenga nawewe kaa kimyaaaaaaaa mwache mtoto wa mdogo wako aendelee kukujua kuwa wewe ni mamake mzazi ila kama ulimfanyia visa hapo nyuma utakuwa umemharibu zaidi kisaikolojia, kama umemlea kama siwako vile hapo ndo patamu atawakumbuka wale waliotangulia kuliko wewe licha ya kwamba wewe ndo umekuwa naye miaka mingi!
 
we usi mwambie ukwel muache bado mdogo,kama ni mwanafunzi huon kama uta mchanganya????
 
Subiri apate kazi for the time being utamchanganya.

Sent from Me, My self and I
 
Kuna mdogo wangu alifariki akaacha mtoto wa miezi 3 mwaka 2000 yule mtoto akalelewa na Mama alipofikisha miez 8 akachukuliwa na Mdogo wangu wa mwisho akaishi nae alipofikisha mwakana nusu yule mdogo wangu nae akafariki

Nikamchukua mimi kumlea mpaka sasa anajua mimi ndiye mama yake wa kumzaa , Mpaka sasa ana umri wa miaka 17, hajui kama mama yake amefariki. Je nimuache au nimueleze ukweli kwamba yeye ni Yatima hana wazazi.
Mwambie ukweli chamdeko
 
Swali la kujiuliza ni hili; Kwa nini unataka kumueleza?? Amekuwa akikuuliza kuwa je wewe ni mama yangu au?? Na kama kakuuliza, ni kitu gani kilimfanya akakuuliza hilo swali??
Angalia, kama ungelikuwa unamfanyia hiana asingelifikia umri huu bila kujua ukweli. Yeye amekujua kama mama yake imetosha. Humdai malipo ya kumtunza, humkatai katika uzee wake, sasa kinachokufanya umwambie kuwa weye sio mamake ni kitu gani??
Kama wakiitwa wazazi wake tangu akiwa mdogo si ni wewe ulienda?? Mbona unakuja kataa mtoto wako uzeeni? Acha kabisa hayo maneno unayotaka kumhuzunisha nayo. Sio mazuri
Uzi ufungwe, usipofanyia hili kazi jiue ajue mama ake kafa.
 
Usimwambie Bado mdogo Hadi awe na familia kwanza ndio umweleze!ukifanya Sasa utapata wakati mgumu sana kumlea!
 
Kuna mdogo wangu alifariki akaacha mtoto wa miezi 3 mwaka 2000 yule mtoto akalelewa na Mama alipofikisha miez 8 akachukuliwa na Mdogo wangu wa mwisho akaishi nae alipofikisha mwakana nusu yule mdogo wangu nae akafariki

Nikamchukua mimi kumlea mpaka sasa anajua mimi ndiye mama yake wa kumzaa , Mpaka sasa ana umri wa miaka 17, hajui kama mama yake amefariki. Je nimuache au nimueleze ukweli kwamba yeye ni Yatima hana wazazi.
Mweleze tu ajue, hilo jambo lilitucost sana kwetu.
 
Kuna mdogo wangu alifariki akaacha mtoto wa miezi 3 mwaka 2000 yule mtoto akalelewa na Mama alipofikisha miez 8 akachukuliwa na Mdogo wangu wa mwisho akaishi nae alipofikisha mwakana nusu yule mdogo wangu nae akafariki

Nikamchukua mimi kumlea mpaka sasa anajua mimi ndiye mama yake wa kumzaa , Mpaka sasa ana umri wa miaka 17, hajui kama mama yake amefariki. Je nimuache au nimueleze ukweli kwamba yeye ni Yatima hana wazazi.
Acha kabisa kufanya huo ujinga; unless kama una mpango wa kuanza kumuonyesha kuwa wewe si mama yake mzazi. Kama una mpango huo, mweleze ili utakapokuwa umeanza mikikimikik yako, aweze kuona namna ya kufanya
 
Mwambie ukweli chamdeko

Uzi ufungwe, usipofanyia hili kazi jiue ajue mama ake kafa.

Usimwambie Bado mdogo Hadi awe na familia kwanza ndio umweleze!ukifanya Sasa utapata wakati mgumu sana kumlea!

Mweleze tu ajue, hilo jambo lilitucost sana kwetu.

Acha kabisa kufanya huo ujinga; unless kama una mpango wa kuanza kumuonyesha kuwa wewe si mama yake mzazi. Kama una mpango huo, mweleze ili utakapokuwa umeanza mikikimikik yako, aweze kuona namna ya kufanya
Duuh wazee huu uzi ni wa 2017 miaka karibu 8 iliyopita, huyo binti kwa sasa anaweza kuwa ana miaka 25 siyo mdogo tena, anyway nami ningependa kujua kama Midekoo alimueleza ukweli
 
Back
Top Bottom