Ushauri unahitajika kwa dada yetu

Ushauri unahitajika kwa dada yetu

Tunaweza kudhani labda mtoa Mada amechanganyikiwa lakini huwezi Jua anapitia yapi kwenye ndoa yake. Hakuna aliyevaa viatu vyake

Imagine unakuwa na Mume mlevi, Malaya na asiyependa maendeleo. Unajikuta unaona fahari kuvaa Pete ya Ndoa lakini ukirudi ndani ni vurugu tupu.

Ingawa na mtoa Mada amefanya haraka kuingia ndoani na mtu ambaye hakupendana naye pasipo hata kuchukua muda wa kuchunguzana
Kwa wanawake wengi,
Ndoa ni plan B ya kujikwamua kiuchumi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
FB_IMG_16672162003912068.jpg
 
Aisee huo ni mtegoo jamaa kiufupi chance ya kukuoa baada ya ukiyomfanyia ni asilimia 10 ila asilimia 90 anataka kukunyooshaaa...!! Na huyo mumeo kama ni muislamu bhasi pole maana bora shika kenda kuliko kumi nenda ujee[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] Utarudi utakuta hata zile kenda hazipo tenaaaa hapo ndo utajua hujuii...
 
Kwa maelezo yako inaonesha ulitembea na huyo mchaga baada ya kuolewa.
Ukweli ni kwamba kama mumeo ana timiza mahitaji ya familia usimuache. Kusema akuache kisa mke wa pili, huo ni ujinga. Tena furahi mke mwenzako unamjua

Sent from my ZTE BLADE A512 using JamiiForums mobile app
 
Pole kwanza kwa changamoto za ndoa ila hakuna mwanaume mjinga wa kiwango cha huyo mchaga ambae anaweza kukubali urudi kwake baada ya KUMFANYIA HAYO ULIYOMFANYIA[emoji16]_hiyo inaitwa KARMA endelea kuvuna dhambi ya usaliti huku ukisubiria LAANA YA NDOA IENDELEE KUKUTAFUNA,dada yangu HEBU jifunze KUTUMIA AKILI kuliko HISIA!!!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo mchaga mjinga atakayeoa mtumba kwisha kazi second hand material na kulea watoto wa watu anasemaje?
Vigoli na ndito hazioni huko serikalini aliko?
 
Mi sijaolewa ila ushauri wachagga, wapare Hawa watu ni wachukua nyota za watu.
Ulipoolewa uliepushiwa kutolewa sadaka.

Wale wanapenda kuuana .
Yaani maisha Yao Huwa ni ya misimh .
Kuhusu mumeo ni mchaga kamloga ili uachane naye hawawatu walichonifanyia ndio usingle huu ninao hadi sasa kwanza ukienda unazimwa na kitu unakuwa zuzu najiona uko powa ila nyota imeshaenda kwake.
Aah....ni mentality tu za watu...we hukumu.tabia yako tu ndo iliyokuponza...
 
Admin mimi nimeolewa na nina mtoto mmoja wa kiume kabla sijaolewa nilikua na mahusiano na kijana wa kichaga kiukwel tulipendana na yule kijana alinijali aliniheshimu kiufupi tuliishi vizur mikwaruzano ilikua michache sana. Kipindi hicho nilikua sina ajira bali nilikua nafanya kazi ya najitolea kwenye tasisi fulani,ila huyo kijana yeye ni mwajiliwa wa serikalini.

Tulifanikiwa kufungua duka kiukwel duka lilikua linaenda vizuri.niliwaza huyu ndie atakuja kua mume wangu lkn haikua hivyo.

Tulikua na ukaribu hatua hadi nyumban kwao nilifahamika, na yeye alifamika kwa baadhi ya ndugu zangu ila sio wazazi na tangu nimekua nae mambo yalikua vizur kiufupi nilienjoy mapenz yake kwa kipind chote hadi pale nilipoanza kuwasiliana na rafiki yang mwngne ambae kwa sasa ni mume wangu.

Huyu kijana (name hide) alikua rafik tu, tuliambiana mambo mengi na kushauriana sikuwai kukutana nae kimwili alikua rafiki tu.. ghafra huyu kijana akaniambia kua anataka kunioa kiukwel nilizani masihara lkn kadri siku zilivyozid niliona inakua serious, niliongea na mpenzi wang mchaga nikamwambia habari za kuoana akaniambia nisubir nimalize shule coz nilikua nasoma chuo alafu ndio tutanza hizo process.

Lakini pia alikua ananisisitiza nimzalie mtoto kwanza kiukwel tulipishana mana anataka nimzalie mtoto kabla ya ndoa nikimwambia swala la ndoa anasema mpaka nimalize chuo upande wangu niliona haijakaa poa.

Sasa wazo la rafik angu la kutaka kunioa likaanza kuniingia kichwani.

Sijui ni nini kilipata nikaanza kutamani ndoa hadi inafikia hatua tunagombana na mchaga wangu swala la ndoa.

Hiyo siku niliongea na rafiki alietaka kunioa akaniambia amenipenda na ananijua mda mref hivo anaona ninamfaa kua mke wake..akaniambia tupime afya kiukwel nilifanya hivyo bahati nzuri afya zetu zilikua vizuri.. na hakuchelewa ikabidi apeleke posa nyumbani wazazi walipokea na kufanya mandaliz yakujibu posa.

Kiukwel nilikua na wakati mgumu mana nilimpenda sana mchaga. Siku moja ilibidi nimwambie mchaga kua nyumban kuna mtu ameleta posa na bado haijajibiwa yule mchaga alikasirika akaniambia kua nilikua na mahusiano mengne wakati nipo na yeye jambo ambalo sio kweli..

So alijibu kwa hasira kaniambia kama unataka kuolewa olewa na kama utanisubir sawa binafsi lile jibu sikulipenda na hapo ndio lipowaza kua mchaga alikua ananichezea tu hana haja na mimi ilibidi niwambie wazazi wajibu kua nipo tayari kuolewa, wazazi walifanya hivyo na ikawa inasubiriwa tarehe ya mahari.

Kipindi yote yanafanyika bado bipo na mchaga hatujaachana na tangu anijibu vile hatukuwai tena kuzungumzia hilo swala hivyo nilikua nafanya mambo yangu kimya kimya bila yeye kujua.

Tarehe ya mahali ilipangwa tukaenda ni nje ya mji hivyo nilimdanganya mchaga kua naenda kusalimia nyumbani kumbe naenda kutolewa mahali.

Niliporudi tu nilionana na mchaga kiukwel nilimuona hayupo sawa kabisa kwanza alikua kapungua nikamuliza shida nini akasema hakuna shida ila anahisi homa. Pia nilikua natafuta namna ili tuachane niendelee na mambo ya ndoa.

Siku iliofuata alikua kazini akanipigia simu sikupokea siku nzima iliniuma lkn nilikua natafuta namna achukie tuachane kweli siku iliofuata tena akapiga sikupokea akatuma ujumbe kuwa nipokee anajambo lamuhimu hapo nikapikea simu yake kiukwel aliongea maneno makali sana akasema anajua kila kinachoendelea na ana namba hadi ya huyo bw harusi mtarajiwa na akanitumia baadhi ya sms tulizokua tukichat na bw harus mtarajiwa na akaniambia niendelee na mambo yangu kamwe sitokuja kufurahia ndoa kiufupi aliongea maneno shiti na vitisho juu alipanik sana na ndio siku tuliovunja uhusiano wetu.

Niliolewa na Mungu akatubarik mtoto mwanzoni nilifurahia sana ndoa lkn hivi sasa naona majuto. Mwanaume amebadirika sana kwanza anataka aoe mke wa pili.. cha pili nimefatilia nyendo zake ni mtu mwenye mambo mengi hasa ya wanawake, ni muongo na tangu tumefunga ndoa hakuna mafanikio yoyote tuliopata zaid ni kupoteza na kwa upande wangu mambo yamekua ovyo sana kuna mda najitaid kuvumilia lkn roho inaniuma sana na inanipelekea namkumbuka mchaga..

Siku moja nilijaribu kutext no ya mchaga kiukwel ilikua hewani na alijibu na kunipigia tuliongea sana na nilimuomba msamaha nikamwambia nikwel nilimkosea lkn asiwe na kinyongo na mimi nilimbembeleza sana akaniambia ameshanisamehe lkn bado hajanisahau tukawa tunawasiliana tu kama friends. Lakini kadri vituko vya mume vinavyozidi namtafuta mchaga kiukwel anaifariji ikafika mahala nilimweleza kua mambo sio mazuri alihudhunika na akaniambia anaomba turudiane hata kama nimeshazaa pia akaniambia mimi nina nguvu ambayo inampa mafanikio kwahio akiwa na mimi mambo yake yanaenda vizur.. siku moja ilibidi nikutane nae na tulikaa sehemu tukaongea kwa kirefu sana na hatukufanya chochote japo alinilazimisha sana.

Kiukwel pamoja na yote yanayoendelea sijawai kumsaliti mume wangu, sasa hivi karibuni mchaga alifiwa na bibi yake ambae ninamfaham ilinibidi niende msiban nilifanikiwa kuonana na ndugu zake kiukwel bado wananipenda.

Pia na lile duka tulilofungua bado lipo baada ya msiba mchaga alinipigia simu akaniambia anataka anioe hivyo akaniambia kwakua mume wangu anataka kuongeza mke wa pili nitumie hio kama fulsa ya kuvunja ndoa ili anioe yeye na akarudia tena kusema akiwa na mimi mambo yake yanaenda vizur japo hapa kati tulivyopotezana alishakua na mahusiano lkn hayajadumu.

Kwa sasa nipo njia panda sielewi nawaza je anania kweli yakunioa au anataka alipize kisasi?

Kwasabu ni haraka sana anataka hili jambo na je ananipenda kweli au anatumia ushirikina mana anasema mimi ndio nguvu yake yamafanikio naogopa na sielewi nifanye maamuzi gani nipo njia panda au nibaki tu kwenye ndoa nivumilie lbda atakuja kubadirika...

Nimelileta kwenu naomba ushauri nipo njia panda nashindwa kufanya maamuzi nachotaka niwe na furaha.
Muda wangu wa ku revenge umefika
 
Mwambie huyo dada kuwa ipo siku mchaga ataoa mke wa pili au tayari ana mchumba ambaye atamtambulisha hivi karibuni kwa wazazi wake na hatakuwa na la kufanya. Sonona itammaliza.
 
Mwamba kuna kitu anataka lipiza huyo . Amini kwamba....

Wanaume hatuna chatacter hyo in nature.. huyo kuna jambo amekuandalia utakuja juta.
 
Admin mimi nimeolewa na nina mtoto mmoja wa kiume kabla sijaolewa nilikua na mahusiano na kijana wa kichaga kiukwel tulipendana na yule kijana alinijali aliniheshimu kiufupi tuliishi vizur mikwaruzano ilikua michache sana. Kipindi hicho nilikua sina ajira bali nilikua nafanya kazi ya najitolea kwenye tasisi fulani,ila huyo kijana yeye ni mwajiliwa wa serikalini.

Tulifanikiwa kufungua duka kiukwel duka lilikua linaenda vizuri.niliwaza huyu ndie atakuja kua mume wangu lkn haikua hivyo.

Tulikua na ukaribu hatua hadi nyumban kwao nilifahamika, na yeye alifamika kwa baadhi ya ndugu zangu ila sio wazazi na tangu nimekua nae mambo yalikua vizur kiufupi nilienjoy mapenz yake kwa kipind chote hadi pale nilipoanza kuwasiliana na rafiki yang mwngne ambae kwa sasa ni mume wangu.

Huyu kijana (name hide) alikua rafik tu, tuliambiana mambo mengi na kushauriana sikuwai kukutana nae kimwili alikua rafiki tu.. ghafra huyu kijana akaniambia kua anataka kunioa kiukwel nilizani masihara lkn kadri siku zilivyozid niliona inakua serious, niliongea na mpenzi wang mchaga nikamwambia habari za kuoana akaniambia nisubir nimalize shule coz nilikua nasoma chuo alafu ndio tutanza hizo process.

Lakini pia alikua ananisisitiza nimzalie mtoto kwanza kiukwel tulipishana mana anataka nimzalie mtoto kabla ya ndoa nikimwambia swala la ndoa anasema mpaka nimalize chuo upande wangu niliona haijakaa poa.

Sasa wazo la rafik angu la kutaka kunioa likaanza kuniingia kichwani.

Sijui ni nini kilipata nikaanza kutamani ndoa hadi inafikia hatua tunagombana na mchaga wangu swala la ndoa.

Hiyo siku niliongea na rafiki alietaka kunioa akaniambia amenipenda na ananijua mda mref hivo anaona ninamfaa kua mke wake..akaniambia tupime afya kiukwel nilifanya hivyo bahati nzuri afya zetu zilikua vizuri.. na hakuchelewa ikabidi apeleke posa nyumbani wazazi walipokea na kufanya mandaliz yakujibu posa.

Kiukwel nilikua na wakati mgumu mana nilimpenda sana mchaga. Siku moja ilibidi nimwambie mchaga kua nyumban kuna mtu ameleta posa na bado haijajibiwa yule mchaga alikasirika akaniambia kua nilikua na mahusiano mengne wakati nipo na yeye jambo ambalo sio kweli..

So alijibu kwa hasira kaniambia kama unataka kuolewa olewa na kama utanisubir sawa binafsi lile jibu sikulipenda na hapo ndio lipowaza kua mchaga alikua ananichezea tu hana haja na mimi ilibidi niwambie wazazi wajibu kua nipo tayari kuolewa, wazazi walifanya hivyo na ikawa inasubiriwa tarehe ya mahari.

Kipindi yote yanafanyika bado bipo na mchaga hatujaachana na tangu anijibu vile hatukuwai tena kuzungumzia hilo swala hivyo nilikua nafanya mambo yangu kimya kimya bila yeye kujua.

Tarehe ya mahali ilipangwa tukaenda ni nje ya mji hivyo nilimdanganya mchaga kua naenda kusalimia nyumbani kumbe naenda kutolewa mahali.

Niliporudi tu nilionana na mchaga kiukwel nilimuona hayupo sawa kabisa kwanza alikua kapungua nikamuliza shida nini akasema hakuna shida ila anahisi homa. Pia nilikua natafuta namna ili tuachane niendelee na mambo ya ndoa.

Siku iliofuata alikua kazini akanipigia simu sikupokea siku nzima iliniuma lkn nilikua natafuta namna achukie tuachane kweli siku iliofuata tena akapiga sikupokea akatuma ujumbe kuwa nipokee anajambo lamuhimu hapo nikapikea simu yake kiukwel aliongea maneno makali sana akasema anajua kila kinachoendelea na ana namba hadi ya huyo bw harusi mtarajiwa na akanitumia baadhi ya sms tulizokua tukichat na bw harus mtarajiwa na akaniambia niendelee na mambo yangu kamwe sitokuja kufurahia ndoa kiufupi aliongea maneno shiti na vitisho juu alipanik sana na ndio siku tuliovunja uhusiano wetu.

Niliolewa na Mungu akatubarik mtoto mwanzoni nilifurahia sana ndoa lkn hivi sasa naona majuto. Mwanaume amebadirika sana kwanza anataka aoe mke wa pili.. cha pili nimefatilia nyendo zake ni mtu mwenye mambo mengi hasa ya wanawake, ni muongo na tangu tumefunga ndoa hakuna mafanikio yoyote tuliopata zaid ni kupoteza na kwa upande wangu mambo yamekua ovyo sana kuna mda najitaid kuvumilia lkn roho inaniuma sana na inanipelekea namkumbuka mchaga..

Siku moja nilijaribu kutext no ya mchaga kiukwel ilikua hewani na alijibu na kunipigia tuliongea sana na nilimuomba msamaha nikamwambia nikwel nilimkosea lkn asiwe na kinyongo na mimi nilimbembeleza sana akaniambia ameshanisamehe lkn bado hajanisahau tukawa tunawasiliana tu kama friends. Lakini kadri vituko vya mume vinavyozidi namtafuta mchaga kiukwel anaifariji ikafika mahala nilimweleza kua mambo sio mazuri alihudhunika na akaniambia anaomba turudiane hata kama nimeshazaa pia akaniambia mimi nina nguvu ambayo inampa mafanikio kwahio akiwa na mimi mambo yake yanaenda vizur.. siku moja ilibidi nikutane nae na tulikaa sehemu tukaongea kwa kirefu sana na hatukufanya chochote japo alinilazimisha sana.

Kiukwel pamoja na yote yanayoendelea sijawai kumsaliti mume wangu, sasa hivi karibuni mchaga alifiwa na bibi yake ambae ninamfaham ilinibidi niende msiban nilifanikiwa kuonana na ndugu zake kiukwel bado wananipenda.

Pia na lile duka tulilofungua bado lipo baada ya msiba mchaga alinipigia simu akaniambia anataka anioe hivyo akaniambia kwakua mume wangu anataka kuongeza mke wa pili nitumie hio kama fulsa ya kuvunja ndoa ili anioe yeye na akarudia tena kusema akiwa na mimi mambo yake yanaenda vizur japo hapa kati tulivyopotezana alishakua na mahusiano lkn hayajadumu.

Kwa sasa nipo njia panda sielewi nawaza je anania kweli yakunioa au anataka alipize kisasi?

Kwasabu ni haraka sana anataka hili jambo na je ananipenda kweli au anatumia ushirikina mana anasema mimi ndio nguvu yake yamafanikio naogopa na sielewi nifanye maamuzi gani nipo njia panda au nibaki tu kwenye ndoa nivumilie lbda atakuja kubadirika...

Nimelileta kwenu naomba ushauri nipo njia panda nashindwa kufanya maamuzi nachotaka niwe na furaha.

Wewe ni mbinafsi sana, na mwenye tamaa ndo sababu ilikufanya umuache mchaga.

Tamaa yako I nataka kukurudisha kwa mchaga, hii haiitaji unabii, Karma is out looking for you.

Utakaporudi kwa mchaga utajuta mpaka ujisahau jinsia, anaweza asijue ila Ana moyo mchungu sana.

Wanaume tu watu wa ajabu sana, unaweza ufikiri umesamehe usaliti, kumbe wapi. Uchungu utaanza na hufuata mauaji.

Mchaga will ever ever trust you, atajisikia unsecure, na atakuwa very controlling, usije thubutu.

As long as mume sio abusive kukupiga, stay kwenye ndoa, stay there and stay again.

Karma is out looking for you, its better that you pay the karma kwa mume wako, kwa x itakuwa chungu sana.
 
Tunaweza kudhani labda mtoa Mada amechanganyikiwa lakini huwezi Jua anapitia yapi kwenye ndoa yake. Hakuna aliyevaa viatu vyake

Imagine unakuwa na Mume mlevi, Malaya na asiyependa maendeleo. Unajikuta unaona fahari kuvaa Pete ya Ndoa lakini ukirudi ndani ni vurugu tupu.

Ingawa na mtoa Mada amefanya haraka kuingia ndoani na mtu ambaye hakupendana naye pasipo hata kuchukua muda wa kuchunguzana

He he he
 
Back
Top Bottom