Nashukuru kwa ushauri wako napi nilikuwa naomba msahada kama nataka kuagizia kitu kimoja naweza kutumia njia hipi ya uagizaji na kingine kwenye swala la malipo ulisema kuwa natakiwa kujua jina la kampuni na wakala yawe yanaendan kama mimi nitawezaje kujua yote hayo na hapo hapo ulisema tusilipe kupitia kwa huduma za posta tutumie huduma za kibenki nitawezaje kwenye ilo. asante kwa hayo machache
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.