Ushauri: Ununuaji wa magari

Jamani me nataka gharama za kuagizia Toyota hiace ya mwaka 98" mpaka ifike mkononi mwangu
 
Nendeni kwenye website ya TRA kuna excel sheet inayokupa bei za magari na kodi zake zote
 
Jamani nahitaji corolla one eleven used hapa bongo.ya 4mil.naweza nikapata? Piga 0755 827255 pls
 

Umemaliza mkuu. Maana hiyo kodi ya uchakavu jamaa anavyokomaa anaweza kuamua kulitelekeza gari bandarini.
 
Habarini wadau,

Ninafikiria kununu gari aina ya NISSAN MURANO ; Ila sijui pa kuanzia. Nimejaribu kusoma posts mbali mbali HUMU JF. Wakati wengine wakishauri kununua magari online.

Wengine wanasema bora kununua magari Dar katika car Yards. Katika kununua magari online;wengine wanashauri kununua kupitia Befoward JP, huku wengine wakiiponda na kushauri Autotrader.co.uk.

NAOMBA KUSAIDIWA KATIKA HOJA HIZI:-

1.Ni ipi njia nzuri ya kununua magari hapa Tz kwa sasa?(online/ktk Yards/nyinginezo).

2.Katika kununua magari online;Ni kampuni ipi ni ya uhakika;ambapo thamani ya hela utakayotoa inalingana na gari utakayopewa?.

3.Kwa makadrio;itanigharimu kiasi gani hadi gari tajwa(Used in Japan) hadi kunifikia mikononi?.

4.Aliyenalo/aliyewahikuwa nalo/kulifahamu gari tajwa;ni nini udhaifu na uzuri wake?.(its strength&weaknesses.
 
Hivi kuagiza Toyota IST ya mwaka chini ya 2005 gharama zake zipoje mpaka inafika nchini
 
Wadau naitaji kuagiza bus aina ya yu tong ni kampuni zipi zinauza hizo bus
 
Mkuu ni nini umuhimu wa gari kufanyiwa inspection?

Sheria za Tanzania ni lazima gari lifanyiwe hiyo inspection. Na ukileta bila inspection halitapewa usajili hadi ukubali wao walikague na watakupiga pesa nyingi zaidi.
 
codes, Befoward, mm ninarecommend hivyo! Naskia tu ni expensive kwa service na pia zimeanza kuwa yebo yebo (kama rav 4 na ist)
 
Nilichogundua hapa ni kwamba watu hawaelewif formula nzima wanayotumia TRA kukokotoa kodi, mwisho wa siku wanakuwa na maneno meengi na kujua kwingi bila fact. ukinunua newer model unakuwa umeokoa dumping fee tu, wakati huo kumbuka hiyo gari inakuwa na depreciation kidogo kuliko gari la zamani, pia gari newer model bei yake ya mpya (abayo inatumika kama msingi wa kikokotozi) mara nyingi ni ghali kutokana na upgrades zinazoingizwa ili kufanya watu waipende zaidi ya iliyopita, hivyo mara nyingi unakuta gari mpya jumla ya kodi zote na ushuru inakuwa kubwa kuliko gari ya zamani.

Mfano, 2010 IST utailipia kodi zifikazo 11.5M. Wakati huo 2002IST utailipia 4.6M tu.
naona uvivu kuendelea kuandika mifano ngoja niishie hapo. Huo ndiyo uzoefu wangu mdogo nilionao Jerrymsigwa usione tabu kunielimisha mkuu nyie mnaonunua magari mtufumbue macho na sisi huenda tukaokota pochi la mzungu tukazama beforward. ila kwenye kununua baiskeli ninao uzoefu mkubwa zaidi kuanzia miaka ilee nilinunua Swala kwa Sh20/-, nikanunua ShangShen, AVON, Phoenix, Impala na nyingine kibao.
 
Last edited by a moderator:
[quote="Rene Jr, My thoughts exactly. Hii dumping fee ni kiini macho. Lakini kodi ya gari mpya itakuwa juu tu hamna kitu mtu anasave. So mtu anunue new model coz its better than the old one lakini sio sababu ya kupunguza kodi.
 
Last edited by a moderator:
piego, Umeongea vyema mkuu. dumping fee ni chanzo tu cha mapato, wala si njia ya kudiscourage watu kuingiza magari chakavu...magari chakavu bado bei ni rahisi kuliko mapya! watu wananunua new model kwa sababu ya kuepuka gharama za uendeshaji wa gari chakavu, pia kuonyesha tofauti aliyenacho na asiyenacho.
 
Nunua Gari iliyo exactly ten year after manufacturing. Utasave dumping fee name depression itakuwa maximum yaani 80%. Hiyo ndo utalipa hela kidogo TRA. Alafu angalia bei elekezi TRA kwa Gari husika
 
Be foward, mm ninarecommend hivyo! Naskia tu ni expensive kwa service na pia zimeanza kua yebo yebo ( kama rav 4 na ist)

Cko hapa kwa kutangaza kampuni ila magari hayo yako bei tofauti kwa kila kampuni kutokana na soko lilovo. Cheki SBT kwa bei kubwa na hutumii mda mwingi kuchagua. Be forward nafuu lakn mda utatumia mwingi. Tradecarview Kama beforwad. Enzi hizi siyo za kununua yard mtu wa mjini. Waachie wa mkoani waje kununua. Mtandaoni option ni nyingi kwa Gari moja. Ikiwa ni ubora. Muonekano na bei. Ila Kama siyo mvumilivu chukua yard maana kuagiza kulipata ni baada ya wk 7. Kilala heri. Uliza Kama hujaelewa
 
Wadau kama kunaanayejua bei ya Oil pump Complete ya Toyota Hilux Engine 1Rz anisaidie mpya au mtumba
 

Nimenufaika sana mkuu, vipi kwa IST, naweza pata kwa bei gani?
 
Jamani wadau natafuta haya magari naomba specification zake please; Oppa, vitz, au ist au paso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…