Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Acha ushamba sio kila sumu inaua hapohapoHiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Hivi hujui kuwa kuna sumu unalishwa leo halafu inakudhuru miezi sita au mwaka badae?Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Akili ya darasa la tatu inayoamini sumu pekee duniani ni sumu ya Panya.Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Usiyoyajua ni kiza kikuu!Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Kwani mnatumiaga sumu ya kuua haraka haraka pekeyake? Hamna ya kumaliza mtu polepole?Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Zipo sumu za kuua taratibu wewe kilaza. Kwani ile aliyowekewa Harrison ili react palepale?Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Fafanua kidogo hapa kwenye kunusurika mauji ya kupangwa,yalipangwa na nani?ili watu wajue!Mjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma.
Mungu ibariki Chadema
Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Kwani umeona nini mkuu! Au vipara vyao,,,,,,au sintofahamu ya mchungaji msigwa na familia yake,,,,ama walicho nena jana na waandishi wa Habar!!!!!! Sijakuelewa hapo mkuu................
Sent using Jamii Forums mobile app
Mangula alipewa lini na akaanguka baada ya siku ngapi ? ndugu mtaalam wa mambo ya sumu tunahitaji ufafanuzi wakoHiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Nina uzoefu wa mapambano dhidi ya shetaniKwani umeona nini mkuu! Au vipara vyao,,,,,,au sintofahamu ya mchungaji msigwa na familia yake,,,,ama walicho nena jana na waandishi wa Habar!!!!!! Sijakuelewa hapo mkuu................
Sent using Jamii Forums mobile app
Waliomimina risasi ni polisi baada ya kupokea amri kutoka kwa Mambosasa , yeye mwenyewe alikiri kwa kinywa chake na ikathibitishwa na Sirro , ushahidi wa mathibitisho hayo upo .Fafanua kidogo hapa kwenye kunusurika mauji ya kupangwa,yalipangwa na nani?ili watu wajue!