Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Mjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma.
Mungu ibariki Chadema
Mungu ibariki Chadema