Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
- #21
😆😆😆😆Kwani mnatumiaga sumu ya kuua haraka haraka pekeyake? Hamna ya kumaliza mtu polepole?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😆😆😆😆Kwani mnatumiaga sumu ya kuua haraka haraka pekeyake? Hamna ya kumaliza mtu polepole?
Wewe kwa ufahamu na uelewa wako unazijua aina ngapi za Sumu??Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Hizi akili za Polepole...zitawakost ndio maana Mangula anaugua Sumu sababu ya akili ovyo kama yakoHiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Yaani badala ya kuleta hoja ili kukinusuru chama chenu ambacho sasa hivi mnaonekana matapeli, unongea uharo tuMjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma.
Mungu ibariki Chadema
Wee Fara acha upopoma, Kuna sumu hadi miez 6 ndo unaanza kina kuhisi kuugua,ukija kushtuka unakuta MAINI yalishaharibika ndo unaelekea kufa.Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Chadema siku hizi mmekuwa wataalu wa sumu, mbona mnazijuwa hivi?Wee Fara acha upopoma, Kuna sumu hadi miez 6 ndo unaanza kina kuhisi kuugua,ukija kushtuka unakuta MAINI yalishaharibika ndo unaelekea kufa.
Watu sijui mna waza kwa kutumia MATAKO
Lakini punde, akakwingilia Jack Chan shashaaa
Wawekewe sum kwa kipi! Chadema mnawakuza kupitia vyombo vya habari! Lakini hawana impact yyte ile.Mjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma.
Mungu ibariki Chadema
Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Acha kuonyesha ujinga wako hadharani!Hiyo sumu ya mpera au matongo pori. Yani wapewe sumu siku tatu bado wanatembe tu. Chadema mnakazi sana.
Labda simu inafanya kazi ndio maama wengine wanalipwa faini, halafu wanamsusa aliyemlipia faini.
Huu ujumbe wako mzuri ulishawahi kumpelekea Mtukufu Magufuli ?Wawekewe sum kwa kipi! Chadema mnawakuza kupitia vyombo vya habari! Lakini hawana impact yyte ile.
Kuna zaidi ya vijiji 1000 havijui chama chochote zaidi ya ccm.
Mpaka leo wanajua nyerere hajafa.
Kwi! Kwi! Kwi!Kifupi chadema ni kikundi cha magaidi! Kinachotumiwa na nchi za magharibi kuichafua inchj wauze siraha, wachote rasirimali zetu nk.
Hao inabidi wapigwe sana!! Tena km hao madem wanatakiwa wapate kipondo cha ukweli.
Mjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma.
Mungu ibariki Chadema
"sidhani kama chakula walikula, ila nina wasi wasi na nyembe walizowanyolea mapara yao"Mjumbe hauawi na huu ni ushauri kutokana na mashaka juu ya usalama wa wahusika ambao walinusurika kwenye mauaji ya kupangwa na baadaye kugeuziwa kibao na kuhukumiwa mahakamani , katika hukumu iliyojaa dhuluma.
Mungu ibariki Chadema