Usher-smith MD
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 9,558
- 12,335
Baada ya BOT kufuta benki 5 na kuona wananchi wanalia nje ya majengo ya benki kuwa akiba zao za fedha zimekwenda na maji,
Je ni benki gani nzuri kwa sasa zinafaa kuweka akiba ili kuepusha kasumba hiyo?!
Je ni benki gani nzuri kwa sasa zinafaa kuweka akiba ili kuepusha kasumba hiyo?!