Ushauri wa biashara ya kuagiza vitu China

Ushauri wa biashara ya kuagiza vitu China

Kama unanunua aliexpress numua vitu ambavyo viko kwenye aliexpress direct, hivi una gurantee utavipata na jama kuna matatizo watakurudishia michuzi.
Hawa aliexpress ukiwapa address ya china wanapeleka mzigo kama ilivyo kwa alibaba?
 
Uwo ni uamuzi wako, mimi navichukulia Dubai, na kama uko TZ unavichukulia Tanzania, vinafikia Dar port, unakwenda kufanya clearance mwenyewe kama umechukua full container, kama mzigo wako hautimii container load, wanauingiza kwenye container la mfanyabiashara mwengine na watakupa details za kufuatilia, au unamfuata agent yeyote alieko TZ akusafirishie kutoka china.
Kama unasafirisha kwa ndege unatoa address yako nafikiri kwa huko ni address ya posta baadae posta watakuarifu ukauchukue, utaratibu wa huko nyumbani inabidi uufuatilie mwenye, unaweza kwenda posta au kwa mawakala kuwauliza.
Mkuu vipi hapo dubai hakuna site kama ilivyo alibaba,aliexpress nk?
 
Hawa aliexpress ukiwapa address ya china wanapeleka mzigo kama ilivyo kwa alibaba?
Unaporegister aliexpress unaandika address yako unapoishi ambayo ndiyo inakuwa shipping address, kama unataka kuship address nyengine kama china, inabidi uchat na supplier umueleze unataka kuship china na inakuwa rahisi kwa sababu vitu vingi vya aliexpress ni vya china, na ni company hiyo hiyo, aliexpress ni rejareja, alibaba(wholesale)
 
Mwaka 2008 wakati bitcoin inaanzishwa, ilijitokeza fursa ya kujipatia sarafu kwa kuchimba (mining) kupitia computer bure. Wachache waliamini wakachimba ila wengi walipuuzia kwa kuwa hazikuwa na thamani ya pesa (monetary value) kwa wakati huo. Wale waliochimba wamenufaika kwa kuuza sarafu walizochimba.

Miaka 14 baadaye imejitokeza tena fursa ya kujipatia coin za RENEC kwa kufanya mining.

1. Kujisajili na kuchimba ni bure.
2. Hakuna ulazima wa kumuunga mwenzako.
3. Coin ikizinduliwa waweza kutoa pesa kwa njia ya simu au benki.

Kama upo willing, nicheki DM kwa maelezo zaidi na jinsi ya kujiunga njoo DM ni buure bila hata 50

Pia waweza kutembelea ukurasa wa instagram Heisslyman Msaba
 
Back
Top Bottom