Uwo ni uamuzi wako, mimi navichukulia Dubai, na kama uko TZ unavichukulia Tanzania, vinafikia Dar port, unakwenda kufanya clearance mwenyewe kama umechukua full container, kama mzigo wako hautimii container load, wanauingiza kwenye container la mfanyabiashara mwengine na watakupa details za kufuatilia, au unamfuata agent yeyote alieko TZ akusafirishie kutoka china.
Kama unasafirisha kwa ndege unatoa address yako nafikiri kwa huko ni address ya posta baadae posta watakuarifu ukauchukue, utaratibu wa huko nyumbani inabidi uufuatilie mwenye, unaweza kwenda posta au kwa mawakala kuwauliza.