mshamba_hachekwi
JF-Expert Member
- Mar 3, 2023
- 20,704
- 66,337
hamna, yana soko lakini kuna sehemu chuga niliona wanauza makongoro yakeKo unakula mazaga ya kitimoto? 😂😂😂😂
Si mpk mapomboo yamo humo??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna, yana soko lakini kuna sehemu chuga niliona wanauza makongoro yakeKo unakula mazaga ya kitimoto? 😂😂😂😂
Si mpk mapomboo yamo humo??
Mpaji Mungu ndugu yangu hii biashara vipi ukiwekeza si tunatoboa chap 🤣🤣🤣Uza mazaga ya kitimoto. Tafuta "kilabu" ya pombe za kienyeji, omba uweke hapo goli lako, maeneo mengi hapa dar unalipa buku kwa siku.
Ukichukua karai, sahani, kuni, benchi 1, dumu mbili za maji, na hela ya kuchukulia mzigo (20k au 30k)
Uza buku kwa kipande, unakaanga hapo hapo.
Ukiweza pika na ugali uwauzie jero jero.
Watu wa chuga hamchagui cha kuweka mdomoni nyie 😂😂😂😂hamna, yana soko lakini kuna sehemu chuga niliona wanauza makongoro yake
Hapo hamna utajiri Labda utafute Hela ya Kodi tu tena ya chumba Cha 30k umeme hamnaMpaji Mungu ndugu yangu hii biashara vipi ukiwekeza si tunatoboa chap 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣🤣 dharau hizo wenzio wanatoboaHapo hamna utajiri Labda utafute Hela ya Kodi tu tena ya chumba Cha 30k umeme hamna
[emoji1][emoji1][emoji1]Nazungusha bia
ipo, walikua wanauza palepale, chezea chuga weweNa supu yake ipo???
Mmenishinda aiseee!!! 😂😂😂ipo, walikua wanauza palepale, chezea chuga wewe
pilau la kitimoto nimekula sana tu
Endeleeni kuzubaishwa na Joel Nanauka🤣🤣🤣🤣 dharau hizo wenzio wanatoboa
😂😂karibu sanaNa mie niweke hapo tuwe tunawaonjea wateja 😂😂😂
😂 ndio jibu lake[emoji1][emoji1][emoji1]
Mkuu ushamaliza chuo😂 au elimu haina mwishonikimaliza nakutafuta mwanangu huwezi nitupa mkono
inshallah mwakani mwezi wa 9Mkuu ushamaliza chuo😂 au elimu haina mwisho
Insha Allah Mungu akutangulie, Kwahiyo tukiona kimya tujue ishaingia mtaani😂inshallah mwakani mwezi wa 9
nikiingia mtaani ndo ntakua na kelele zaidi😂Insha Allah Mungu akutangulie, Kwahiyo tukiona kimya tujue ishaingia mtaani😂
Utakuwa nayo kama una hela ya bandonikiingia mtaani ndo ntakua na kelele zaidi😂
Uza mazaga ya kitimoto. Tafuta "kilabu" ya pombe za kienyeji, omba uweke hapo goli lako, maeneo mengi hapa dar unalipa buku kwa siku.
Ukichukua karai, sahani, kuni, benchi 1, dumu mbili za maji, na hela ya kuchukulia mzigo (20k au 30k)
Uza buku kwa kipande, unakaanga hapo hapo.
Ukiweza pika na ugali uwauzie jero jero.
Jirani nitakuja kukopa 😂Countrywide boss wangu nifanyie mpango unipe laki ya mtaji niifanye hii biashara, nasikia inalipa nitapiga pesa nyingi. [emoji23][emoji23][emoji23]
Wateja nishawapata jirani yangu Half american na shem wangu mshamba_hachekwi
Jirani nitakuja kukopa [emoji23]