Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Mtu mwenye mawazo ya kishirikina kama wewe ayatoe wapi mawazo chanya!! Ungekuwa na uwezo wa ku-deliver mawazo ungejibu swali nililokuuliza baada ya kuleta lugha za hovyo kwa mtu ambae hajakuongelea luga za hovyo!

Btw, mimi nisiyeamini katika ushirikina na wewe unayeamini katika ushirikina ni nani kati yetu aliyefeli?! Hivi karne ya 21 huoni aibu kuongelea masuala ya ushirikina?! Nyie ndo wale mtaani mkiona mtu katoboa basi mnaamini katoboa kwa ndumba!
 
Kuna mahali nimelumbana na wewe? Yaani umekuja kuona nalumbana na wewe baada ya kushindwa kujibu swali nililokuuliza?! In short, wewe ni mshamba! Washamba aina yako wana tabia ya ulimbukeni wa kutumia lugha za hovyo mitandaoni!!!
sasa kati ya mimi nawewe nani anatoa lugha za hovyo kuwa civilized kidogo ungenijibu swali langu kwanza lakini swali hujajibu unarukia kwenye matusi
 
Yaliyo nyuma ya pazia bado hatuyajui mana upande wa chibu hajaongea
 
Hapo mwisho
 
sasa kati ya mimi nawewe nani anatoa lugha za hovyo kuwa civilized kidogo ungenijibu swali langu kwanza lakini swali hujajibu unarukia kwenye matusi
Naona mke mdogo wa Mzee Abdul unapenda sana kulia lia ili kutafuta huruma kwa watu kwamba eti nakutukana wakati unafahamu fika ni mwenyewe ndie ulianza provocation. Mwambie basi mumeo amweleze mwanae Diamond kwamba asipowasaidia, mtamtolea radhi hadi aokote makopo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…