Mtu mwenye mawazo ya kishirikina kama wewe ayatoe wapi mawazo chanya!! Ungekuwa na uwezo wa ku-deliver mawazo ungejibu swali nililokuuliza baada ya kuleta lugha za hovyo kwa mtu ambae hajakuongelea luga za hovyo!kabla cjapandikiza fikra chanya kwny ubongo wako...ni lazima kwanza nihainishe fikra hasi zinazokutawala na kukuwekea wigo wa kuyaona mambo ktk mapana yk .. .na cdhan km ni lugha ya ovyo ila jitahd kua na kifua mkuu
Hii itakusaidia kuona wapi unafeli... ila km hutaki hutibiki!
Btw, mimi nisiyeamini katika ushirikina na wewe unayeamini katika ushirikina ni nani kati yetu aliyefeli?! Hivi karne ya 21 huoni aibu kuongelea masuala ya ushirikina?! Nyie ndo wale mtaani mkiona mtu katoboa basi mnaamini katoboa kwa ndumba!