Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila haya mambo yapo sana, mimi nilikuja kuamini baada ya Kanumba kufarikiNilishangaa Gwajima alivyotaka kutoa siri zao wakaenda kumlamba miguu
WamemlambajeNilishangaa Gwajima alivyotaka kutoa siri zao wakaenda kumlamba miguu
Tuanzie kwan kweny heleni nini maana yke zina maanisha nin???ni swagg kwa boys kuzivaa au vp ? weng walio kosa maarifa wanasema ni unyamwezi je? mnajua nin kipo behind the door
Nikitokaga, nikiendaga. Hiki ni kiswahili cha nchi gani mkuu, samahani lakini.Haya mambo binafsi nilikuwa ninayamini Sana nakumbuka wakati nipo form 4 nasoma shule ya Benjamini mkapa so nikitokaga shule tu nilikuwa napendaga kuudhuria kwenye majamaa fulani wanakaa ubungo wanapenda kutaja mafreemason na history za Freemason walituambia shoziniga wa hollywood na diamond ni freemason na walivunja masharti ya ufreemason kutokana na Hilo wameukumiwa kufa shoziniga atakufa mwezi wa 9 na huku diamond atakufa mwezi wa 12 wa mwaka 2014.Baada ya kupita hizo siku na kuingia 2015 sikuona haya mambo yametendeka nikaona ni uongo na tokea hapa haya mambo siyaamini Tena na nikaacha kwenda Tena hiyo sehemu nikaona nikupoteza muda wangu bure.
Unajua mtu anaweza akakukosea nawewe ukakosea mara mbili zaidi yake? hiyo ni test tu ya maisha na so far jamaa anafeli vibaya tuliopitia mambo magumu tupo wengi na tulishasamehe na kusahau kazi inabaki kwake mwenyewe kujutia... kuna wazazi ni makatili unaweza ukatamani awe hayupo kila muda lakini tumekua na tumesahau sasa vp mnamjaza ujinga ndugu yenuMnamuonea tu Huyo diamond ..... (mimi huwa sivutiwi na Tabia zake chafu chafu) ambazo zimenifanya nisimpende kabisaa"
Lakini kama ni kweli baba yake Alimtelekeza alipo kuwa mdogo kwaajili ya mgogoro na mzazi mwenzie
Basi ana stahiki kupatwa na hicho kinacho mfika " kwa sababu mtoto hakuwa na makosa
Huwa tuna vuna tunacho kipanda' so suala la kumuona diamond kuwa hamtendei haki baba yake " wakati baba yake mwenyewe mbegu aliyoipanda ndio hiyo" ni wazi mtakuwa mnanuonea tu diamond"....., mlitaka mzee avune karanga baada ya kupanda kokoto .. !?
Sent using Jamii Forums mobile app
ujinga ndo unaotuchelwesha kufikia uchumi wa kati maana huko mtaani wamejaa watu wengi ambao akili zao zipo primitive sana wanashikilia na kutetea mambo ya kijinga... unakuta mtu mzima na ndevu za kutosha anakomaa eti flani freemason ujinga mtupu yaniWasio na kazi hushindia story za freemason
Na tatizo lako wewe ni kutojua kwamba hayo ni mapambo tu, na yanauzwa!!ttzo la watanzania tunapenda majibu rahisi kwa maswali magumu...na tunapofushwa na mahaba inasikitisha sana!
Ungekuwa mfuatiliaji ungefahamu kinyongo cha Diamond hakikutokana na kutelekezwa bali tabia ya baba ake kutumika na magazeti ya udaku! Tumia hata akili ya kawaida tu! Unakuta Gazeti la Risasi linaandika Mzee Abdul yupo "hoi" kitandani, kisha anaanza safari ya kwenda hospitali na gazeti wanakuwa na picha zoooooote hizo, kuanzia nyumbani, kwenye daladala hadi anaingia hospitali!Unajua mtu anaweza akakukosea nawewe ukakosea mara mbili zaidi yake? hiyo ni test tu ya maisha na so far jamaa anafeli vibaya tuliopitia mambo magumu tupo wengi na tulishasamehe na kusahau kazi inabaki kwake mwenyewe kujutia... kuna wazazi ni makatili unaweza ukatamani awe hayupo kila muda lakini tumekua na tumesahau sasa vp mnamjaza ujinga ndugu yenu
Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?! Nimekuuliza Gazeti la Risasi wanakuwa wapi hadi wanakuwa na uwezo wa kupata picha za Mzee Abdul kuanzia anatoka home hadi hospitali kama sio wanapanga?!Hizo zote porojo tu maana hata wewe unaongea unachohisi ni kweli lakini hujajua kiundani kwa sababu ni ishu za familia mimi na wewe hatujui.. ila ishu ya msingi ni kwamba huwezi ukamlipizia kisasi mzazi wako utakuwa unajidanganya wewe mwache na dhambi zake atamalizana na mungu wake lakini huduma zote kama mzazi mpe.. hivi kati ya baba Diamond na Mama Diamond nani ana tabia za ajabu?
Kwa upeo wako ni swagg na tuishie hapoNi swaggz tu kwani ni wapi kumeandikwa kwamba tuvae suruali?
Kama umewahi kusoma o level Kuna sub topic inaitwa njia 7 za kuunda maneno moja ya njia ni hiyo.Nikitokaga, nikiendaga. Hiki ni kiswahili cha nchi gani mkuu, samahani lakini.
Acha maswali ya kis'enge, jibu nilichokuuliza!! Hao Risasi walikuwa wanafahamu vp kama sio walikuwa wanampanga?!we ni ke au me?
]Acha maswali ya kis'enge, jibu nilichokuuliza!!