Na isitoshe wazazi waliachana dai mwenyewe akiwa ashakuwa mkubwa hivyo anajua kbs kila kitu.Huyo atakuwa amepewa masharti na mganga huo ugomvi wa wazazi wake ni kisingizio tu
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na isitoshe wazazi waliachana dai mwenyewe akiwa ashakuwa mkubwa hivyo anajua kbs kila kitu.Huyo atakuwa amepewa masharti na mganga huo ugomvi wa wazazi wake ni kisingizio tu
Lkn inavyoonekana mzee alitemana na mama yake dai akiwa mkubwa almost km yuko sekondari vile, pale inavyoonekana kuna maneno tu alilishwa na mama yake. Na km kweli alikanwa basi mzee anatumikia karma yake.Hujajua maumivu ya kukataliwa na mzazi wewe tena hilo neno la kumdharau futa.
Ni maumivu yasiyoelezeka wewe unazungumza tu kwa sababu ulipata malezi ya wazzi wote.
Kupewa pesa si tatizo yule mzee pesa anapata, tatizo ni msamaha ni kitu kigumu sana mwanadamu kukitoa, haihitaji media ili kupata msamaha anahitaji wasuluhishi shauri yake.
is something going on behind the scene of his success?"..... ebu tiririka mdau
Ni umpumbavu uliopitiliza kuamini Freemasons, Hawa jamaa sijui Wana akili za chooni au za wapi.Akili ya kushindwa bwana, hapa unajaribu kunustify kuwa wewe huna mafanikio kwasababu sio freemasons.
Ndiyo maana mafanikio mara nyingi yanatokana na mtazamamo wa mtu na wala siyo katoka familia gani.
Mimi ni nani nianze kujadili matumizi ya mtu anaetafuta pesa kwa jasho lake mwenyewe?
ww babako aliekulea toka mdogo mpk umeota ma**zi...jiulize umemkosea mangapi mbona amekusamehe yt?!Ngoja nikutafutie bonge la tusi.
Kuna watu wapumbavu sana kila utakalowauliza wanakataa.
Wewe ni miongoni mwa hao wapumbavu?.
Kweli wivu ukizidi mwisho mauti. Unajua aliyoyafanya baba yake Diamond kwa mwanae?
Goli halina thamani zaidi ya malezi. Unaweza ukazaa ila ukakosa thamani kwakutokumlea mtoto wako.
Kwani like fuvu la kichwa linalosemekana lipo ofisini kwake kina kazi gani
Hapo ndio ubongo wako umeishia kufikiri? inaonekana ndani ya fuvu la kichwa chako kuna kitu kimejazwa badala ya ubongo kama sii makamasi masi n uchafu mwingine utokao ndani ya mwili. Hata ukiambiwa freemason hujui wewe acha kuchapa kazi. acha kufanya ubunifu wewe poteza muda wa kuchambua mafanikio ya wenzakoivi na freemason wa ulaya wanatoana undondocha ka jay z, beyonce, unakuta wanahudumia misukule ndani?
wewe baba yako huko kijijini anahangaika ww una simu ya smart na unamfatilia diamond badala ya kumsaidia mzee wako je? umemtoa kafara pia.
kabla ya diamond kuwa na hela na maarafu huyo mzee wake alikuwa anatembela VX ama gari gani hadi tuseme katolewa kafara.
vp mzee wake ana akili timamu ama za kindondocha kama ww ivi? kuona mtu kafanikiwa unajua ni freemasoni
dogo umedata, sasa inani quote mimi tena ndio unajibu. mfate mtoa bandikoHapo ndio ubongo wako umeishia kufikiri? inaonekana ndani ya fuvu la kichwa chako kuna kitu kimejazwa badala ya ubongo kama sii makamasi masi n uchafu mwingine utokao ndani ya mwili. Hata ukiambiwa freemason hujui wewe acha kuchapa kazi. acha kufanya ubunifu wewe poteza muda wa kuchambua mafanikio ya wenzako
Mimi na baba yangu hatujaonana sasa mwaka wa 10. Maza karibu kila mwezi namtumia fedha na ninataka kumjengea nyumba sasa. Tangu naanza form four father akaacha kunilipia ada na sijaiona hata mia yake. Alijua nitashindwa na kukwama but sijakwama mpaka nikamaliza elimu na kuajiriwa. Kama hataniomba msamaha sitamtafuta. Na yeye sasa anaona aibu hana pa kunianza.ww babako aliekulea toka mdogo mpk umeota ma**zi...jiulize umemkosea mangapi mbona amekusamehe yt?!