Chapat
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 283
- 202
Kuna faida anapata mkuu. Kuna mdau kutoka ughaibuni anamtumia sent kila mwezi baada ya kupata habari zake za kususwa na wanawe. Hii ni kutokana na maneno yake mwenyewe.
Ooh! Kumbe mjini mipango tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna faida anapata mkuu. Kuna mdau kutoka ughaibuni anamtumia sent kila mwezi baada ya kupata habari zake za kususwa na wanawe. Hii ni kutokana na maneno yake mwenyewe.
[emoji16][emoji16]mkuu umewaza mbali sana, diamond angekuwa maskini asingemlilia. Kimsing, wanaume tunakusea sana ugomvi wa mapenzi ya wawili kuhusisha watoto.. yan unagombana na utamu wako halafu unampotezea na mtoto?So kama aliambiwa nakuondoka na hiyo suruali ndio amsuse mtoto wake ...hahaa dahh so sad"....... kwahiyo kinachotaka kumrejesha kwa mtoto sasa hivi ni nini " !?, zile hasira sasa hivi zimeisha !?, now ndio anatambua kuwa diamond ni mwanae !?
Umeshawahi jiuliza swali !?, kama diamond asingekuwa hivi alivyo leo baba yake angeendelea kumlilia lilia !?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyo busara imekuja baada ya kijana kufanikiwa?Nimeona YouTube mzazi ana busara sana kaongea mengi huku akimtakia mafanikio na nyota ing'are. Kasema suala la kumwalika harusini ni lake yeye Diamond cha msingi anapenda aone diamond anaoa na sio kugeuza nyumba daguro!!. Sijawahi kununua kazi ya Diamond na sio shabiki wa miziki yote ya Tz isipokuwa miziki ya OTTU JAZ BAND. Kijana nimemdharau sana kwani sisi wakristu tunafundishwa samehe saba mara sabini
Sent using Jamii Forums mobile app
aisee a riff wapi iyo? Kwa madiba nini?Nimeona YouTube mzazi ana busara sana kaongea mengi huku akimtakia mafanikio na nyota ing'are. Kasema suala la kumwalika harusini ni lake yeye Diamond cha msingi anapenda aone diamond anaoa na sio kugeuza nyumba daguro!!. Sijawahi kununua kazi ya Diamond na sio shabiki wa miziki yote ya Tz isipokuwa miziki ya OTTU JAZ BAND. Kijana nimemdharau sana kwani sisi wakristu tunafundishwa samehe saba mara sabini
Sent using Jamii Forums mobile app
Any fool with a dick can make a baby but it take a real father to take care of his children.. Huyo sio baba ni sperm donorNaandika nikiamini kwa namna moja au nyingine ushauri huu utamfikia huyu kijana Diamond. Yeyote asiye na maelewano na wazazi/mzazi wake pia inamuhusu. Na wazazi wanaotelekeza vizazi vyao pia wanaweza kujifunza jambo.
Mimi ni mmoja kati ya watu wanaopenda namna Diamond anavyojituma katika kazi pamoja na ubunifu katika muziki na biashara ya muziki. Pia amekuwa mstari wa mbele kusaidia vijana wenzake, hususan waliotoka katika hali duni kimaisha kama ilivyokuwa kwake, kupata maendeleo kupitia sanaa. Tumeshuhudia hali kadhalika mara kadhaa akirudi maskani Tandale na kuwasaidia wakazi wa huko, kidogo alicho jaaliwa, na mengine mengi mazuri.
Yapo pia mambo kadhaa ambayo sifurahishwi nayo kuhusu yeye, lakini nitalizungumzia hili la kumtelekeza Baba yake. Nimeona mahojiano ambayo baba Diamond amefanya na online TV moja. Ni wazi kwamba huyu mzee alitibuana na demu wake Sandra - mama Diamond, akatimka nyumbani na kutelekeza familia. Anasema wakati huo Diamond alikuwa na akili yake nzuri tu, hivyo huenda Diamond aliathirika sana kisaikolojia kwa Baba yake kutokomea kusikojulikana na kuwaacha yeye na mama yake hawana hata unga robo. Kutokana na maelezo yake aliyotoa na mazingira ya nyumbani kwake, huyu mzee ana hali ngumu. Baba Diamond sasa hivi anafanya biashara ya kukopa viatu vya mtumba Ilala, anarudi kwake magomeni anaviosha na kung'arisha kisha anatembeza mtaani, yaani Mmachinga typical. Anapoumwa kwa mfano, anakuwa hana hata fedha ya matibabu, hivyo kugeuka ombaomba. Kutokana na maelezo ya Mzee mwenyewe, majirani na mdogo wake Diamond anayeishi na baba yake, Diamond kufika kwa mzee wake ni tokea yuko na Wema!
Kilichonifanya kuandika huu uzi ni kwamba Baba Diamond ameomba msamaha kwa makosa aliyoyafanya. Tena amesema kwa uchungu kabisa, kwamba hata Mwenyezi Mungu husamehe. Kwa nini , yeye asisamehewe?. Binafsi naona imefika wakati Diamond akunjue moyo wake na kumsaidia Baba yake. Katika Qur'an, ipo wazi kabisa, kwamba baada ya Mwenyezi Mungu, wanafuata wazazi. "Be grateful to Me and to your parents; to Me is the [final] destination." (Quran 31:14). Mzee Abdul alikosea kumtelekeza mtoto Diamond, haijalishi walitibuana nini na mama Diamond. Diamond hajui nini hasa kilitokea. Mzee ameomba msamaha, anapaswa kusamehewa na maisha yaendelee.
Diamond rudisha maelewano na umsaidie baba yako. Amejutia na ameomba msamaha. Kwa sasa haikupunguzii chochote kumsaidia mzee wako aishi maisha ya kawaida, ya angalau ajue familia yake itakula nini jioni. Utakuwa na amani, Itakuongezea heshima katika jamii, na zaidi utapata credit kwenye daftari lako la Akhera. Maisha yenyewe ndiyo haya. Ukiishi sana 80. Ukiishi zaidi ya 80 ni maumivu tu, uwe na hela au huna. Akifa huyu mzee katika hali hii, Diamond utaaibika Duniani na akhera.
kama nyama ya ta..ko. na aindeleze hiyo hiyo hawa washua wajifunze na kuwa na adabu.Diamond ana moyo mgumu sana
Mzee anaonekana NJAA imetawala maisha YAKE,,NYUMBA yenyewe mvua ikinyesha Kama MWEMBE? choo cha GHOROFA.,,Yule anaishi kwenye BANDA sio NYUMBA,,, mzee tumemsikia kwa KAULI YAKE,,,anatembeza VIATU... na ana matatizo ya MIGUU,, anapaswa KUSAIDIWA,,,yule DIAMOND ,,ANA ROHO NGUMU SN,, hivi siku MUNGU akimchukuwa yule MZEE ,,DIAMOND atashiriki MSIBA? na atashiriki kama MTOTO,,AU NDUGU? au JIRANI? msidanganywe na MAFANIKIO....Mdingi kinachomuua ni vidole na midomo ya watu lakini yule mzee kwa vigezo vyetu vya kitanzania yupo njema sema anaonekana ana matatizo kwa kuwa mwanae ana jina kubwa na fedha za kutosha yaani ana uwezo mkubwa wa kuendesha maisha yake. Mzee ana nyumba Magomeni Kagera na wapangaji juu na huenda hata wale wanaomwona Diamond hamsaidii wazazi wao wana maisha mabovu kuliko Diamond.
kama nyama ya ta..ko. na aindeleze hiyo hiyo hawa washua wajifunze na kuwa na adabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23].. kama unayakaliaga arafu ni malaini ujue, ww unafaa sana!!Kwani nyama ya tako ni ngumu?labda matako yako
Nafaa kufanyaje?[emoji13][emoji13][emoji13][emoji23][emoji23][emoji23].. kama unayakaliaga arafu ni malaini ujue, ww unafaa sana!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kuwa material[emoji817]%, hata tenga linalofikisha nyanya zikiwa salama hilo ndio lafaa kuhifadhiwa vyema..Nafaa kufanyaje?