Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Vp napo kwa Queen Doreen napo, manake naye alifikia hatua mpaka ya kumtukana matusi makubwa (mpaka wakawa wanaya mute) kupitia Shilawadu au bado unahisi napo hajapewa nafasi ya kujitetea? Mpaka Queen akatamka mzee si baba yake.

Au Mondi leo hii angekuwa na life bovu unahisi angemtafuta na kumlilia kama amliliavyo leo hii.

Hivi ww mwenyewe hujiulizi mtu mmoja amefanya kosa lile lile kwa watoto wawili aliozaa na wanawake wawili tofauti kwa mda tofauti, huoni huyu mzee ana matatizo na ni kama life style yake ya ujana kuzaa na kutelekeza majukumu.

Mimi mwenyewe nakubali kibinaadam na kwa imani yangu huyu mzee anastahili kusamehewa tatizo approach yake yakutumia vyombo vya habari ndio ina muharibia na kumchoresha.

Ukienda page ya tatu ya mjadala huu utaona ushauri nilio utoa na endapo mzee akifuata ushauri huo nina uhakika watayamaliza lkn hivi vyombo vya habari, havitamsaidia kupatana na mwanae zaidi ya kumchoresha.
Huyo DIAMOND angekuwa hana mafanikio, wala yote yasingemkuta mzee,,na huyo baba YAKE angekuwa na pesa wala asingedhalilika,, TUTAFUTE PESA KWA BIDII....yote.,,yasitukute,,,,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mzee alisema ana mengi ya kumweleza mtoto, DIAMOND anakatazwa na mama YAKE,, hivi mtoto anakataliwa mimba? Mchanga? Au ukubwani?Huyo DIAMOND MSHAMBA TU,,huwezi kumdhalilisha BABA YAKO KIASI HICHO ,,,na pengine hajuwi hata ile siku MIMBA YAKE INAINGIA,,baba YAKE alitumia NGUVU KIASI gn kulazimisha PENZI KWA MAMA YAKE,, BABA NI BABA hata awe CHIZI..wewe unaona ni sawa? Mzazi kutembeza viatu barabarani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Alibebembeza penzi hili Afaidi uroda
 
Wewe utakuwa umelelewa na single mother,wanawake ni watu wabaya sana,sasa mama amefanikiwa kumjengea Diamond chuki kwa baba yake,je Diamond kwa imani ya dini yake kutokusamehe atapenya kwenye pepo gani?maana hata angezidi kuwa na pesa kiasi gani,mbele za Mungu he is useless...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu jaribu kuwa unafikiri kidogo nje ya imani uliyoirithi.
Mimi sijalelewa na mama au baba pekee nimelelewa na wazazi wangu wote ila nina dada na kaka zangu ambao nimekuja kuwatambua ukubwani aisee hata siwalaumu kwa chuki waliyonayo kwa mzee inaumiza sanaaa
 
ACHA UZWAZWA MI NIMETOKA NNJE YA BOXI KIFIKRA SI KAMA WEWE ULIYEKARIRISHWA NA UTETEZI UCHWARA WA DIAMOND KUHUSU KUTELEKEZWA NA BABA YAKE MZAZI.

MARA NGAPI TUNASHUHUDIA AKINA MAMA WAKIPANDIKIZA SUMU ZA CHUKI KWA WATOTO WAO DHIDI YA BABA ZAO WAZAZI KTK JAMII?

SASA IJE KUWA NONGWA KWA MAMA YAKE DIAMOND NAKATI NAYE NI SAWA NA WANAWAKE HAWA HAWA WANAOTUZUNGUKA KTK JAMII?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga anaeleweshwa na mjinga mwenzake akieleweshwa na mwerevu huona ni upumbavu.
 
KWA AKILI ZAKO UNADHANI TUNGEKUWA TUNAHUKUMIWA KWA KILA KOSA TUNALOLITENDA HAPA DUNIANI, NI BINADAMU YUPI ANGEENDELEA KUISHI KTK SAYARI HII?


SAMEHE SANA BILA KUJIHESABIA HAKI ILI UWE NA AMANI ROHONI CHIFU MAANA HATA NAWE HUJAKAMILIKA KAMA MALAIKA.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mjinga hueleweshwa na mjinga mwenzake dini yako umeirithi mwaka gani?
 
Mzee alisema ana mengi ya kumweleza mtoto, DIAMOND anakatazwa na mama YAKE,, hivi mtoto anakataliwa mimba? Mchanga? Au ukubwani?Huyo DIAMOND MSHAMBA TU,,huwezi kumdhalilisha BABA YAKO KIASI HICHO ,,,na pengine hajuwi hata ile siku MIMBA YAKE INAINGIA,,baba YAKE alitumia NGUVU KIASI gn kulazimisha PENZI KWA MAMA YAKE,, BABA NI BABA hata awe CHIZI..wewe unaona ni sawa? Mzazi kutembeza viatu barabarani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwann diamond wakati anaenda kuomba Masada Kwa Baba yake asimueleze ,
 
Kuna watu wanatetea ujibga tu hapa!
Sio shabiki wala huwa sisikilizi hiyo miziki!

Ila hata km mzazi kakufanyia nn,atabaki kuwa mzazi tu na kusamehe ni lazima sio ombi wala nini maana ni kwa faida yako wewe unae samehe!

Ukitaka Mungu akusamehe na wewe samehe kwanza! Ndio ilivyo.

Biblia ,kwenye Mathayo inasema .....Utusamehe makosa yetu kama sisi tunavyowasamehe waliotukosea.....

Sasa km unaomba Mungu akusamehe,sahau kusamehewa km wewe hujasamehe...

Halafu mali zenyewe hazitafika popote km una kinyongo na mtu,kwa ss hawezi ona ni suala la muda tu!

"Kufanikiwa kwa mpumbavu kutamuangamiza"!



Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna watu wanatetea ujibga tu hapa!
Sio shabiki wala huwa sisikilizi hiyo miziki!

Ila hata km mzazi kakufanyia nn,atabaki kuwa mzazi tu na kusamehe ni lazima sio ombi wala nini maana ni kwa faida yako wewe unae samehe!

Ukitaka Mungu akusamehe na wewe samehe kwanza! Ndio ilivyo.

Biblia ,kwenye Mathayo inasema .....Utusamehe makosa yetu kama sisi tunavyowasamehe waliotukosea.....

Sasa km unaomba Mungu akusamehe,sahau kusamehewa km wewe hujasamehe...

Halafu mali zenyewe hazitafika popote km una kinyongo na mtu,kwa ss hawezi ona ni suala la muda tu!

"Kufanikiwa kwa mpumbavu kutamuangamiza"!



Sent using Jamii Forums mobile app

Mbona alishamsamehe siku miaka mingi ilopita!

Ila hayo mengine ndo inategemea na majaliwa!


Sent using Jamii Forums mobile app
 
So kama aliambiwa nakuondoka na hiyo suruali ndio amsuse mtoto wake ...hahaa dahh so sad"....... kwahiyo kinachotaka kumrejesha kwa mtoto sasa hivi ni nini " !?, zile hasira sasa hivi zimeisha !?, now ndio anatambua kuwa diamond ni mwanae !?

Umeshawahi jiuliza swali !?, kama diamond asingekuwa hivi alivyo leo baba yake angeendelea kumlilia lilia !?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu swala la msamaha ni jambo jema tu..

Yusuf aliuzwa utumwani na kaka zake, lakini baadae wakati wa njaa kali Yusuf alikuja kuwa msaada kwa wale kaka zake waliomuuza na aliwasamehe..

Mungu ana mipango mengi sana, huwezi jua labda kama Baba Diamond asingekimbia Diamond asingekuwa Diamond.

Diamond amsamehe baba yake na amtunze..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kila mtu atavuna alichokipanda na itakuwa fundisho kwa wanaume wengine. Huwez jua unyanyasaji kias gani alifanyiwa na baba ake kana kwamba hata kumtazama usoni hana hamu. Hivyo tumuachiwe alietendwa afanye maamuzi kulingana na anavyojisikia moyon mwake na siyo kufanya kufurahisha watu..
 
Kwann diamond wakati anaenda kuomba Masada Kwa Baba yake asimueleze ,
Amueleze kitu gani?hivi wewe chanzo cha baba yako na mama yako kuachana ushawahi kukijuwa?huyo mzee anadai huyo mama ndy alimfukuza nyumbani tandale,,,tena wakati huo diamond yupo shule ya msingi,,,LAZIMA uelewe kuwa hawa WANAWAKE WAO ndy wanaanza VITA,,,baba akimaliza anaonekana mbaya,,na wao silaha yao kubwa ni WATOTO,,, ili wanajuwa huna ujanja,,,utarudi kwao tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha sana...

Ila kwa nini alaumiwe Diamond pekee... Mama yake Diamond pia anapaswa kulaumiwa, usikute yeye ndiyo anamshinikizia mtoto wake asimsamehe baba yake...


Cc: mahondaw
 
Mkuu swala la msamaha ni jambo jema tu..

Yusuf aliuzwa utumwani na kaka zake, lakini baadae wakati wa njaa kali Yusuf alikuja kuwa msaada kwa wale kaka zake waliomuuza na aliwasamehe..

Mungu ana mipango mengi sana, huwezi jua labda kama Baba Diamond asingekimbia Diamond asingekuwa Diamond.

Diamond amsamehe baba yake na amtunze..

Sent using Jamii Forums mobile app
Diamond alishamsamehe Baba yake na ndio maana haujasikia hata Baba yake amtekwa na diamond au vijana WA diamond , Yuko uraiani na anaenjoy free air kama watu wengi , diamond angekuwa m'baya angetuma Baba yake kama watu wengine wanavyotekwa
 
Mkuu swala la msamaha ni jambo jema tu..

Yusuf aliuzwa utumwani na kaka zake, lakini baadae wakati wa njaa kali Yusuf alikuja kuwa msaada kwa wale kaka zake waliomuuza na aliwasamehe..

Mungu ana mipango mengi sana, huwezi jua labda kama Baba Diamond asingekimbia Diamond asingekuwa Diamond.

Diamond amsamehe baba yake na amtunze..

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kumsamehe mtu na kuendelea kumsaidia mtu aliye kusamehe au kuwa naye close ni vitu viwili tofauti mkuu ... hebu tofautisha kwanza hivyo vitu halafu ndio tuendelee na mjadala

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom