Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Ndugu uko timamu kweli kichwani ama haukifahaumu unachokiongelea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe endelea kukarili tu hizo Hekaya " Maisha ni zaidi ya hivyo unavyo fikiria
Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bro unachosha aosee ili gazeti lote la nini apa aiseee

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Hata kama siendi kanisani wala msikitini siwezi kuunga mkono kitendo kama hiki yaani baba yako mzazi hana hata hela ya matibabu anabangaiza halafu ww unagawa bima bure kwenye show za birthdays sijuw kwa watu pori kutafuta sifa kama si laana ni nn?
Ww ugomvi wa baba yako na mama yako ww unakuwasha nn?
Tupo tulotelekezwa had na mama wazazi lakn inapofikia habar ya mzaz ni mzaz hayo yote tunatupilia mbal maana tunajua nenda uendako sikio halitokuja kuzidi kichwa!!!hatuombei ila likitokea la kutokea utashangaa watu wanaongozana na maspika na makamera for show off!!!!!!! Watu had kuchomwa na majimoto tumechomwa lkn kwa wazaz hewala tunafurahia uwepo wao maana huwezi kubadilisha k2 hapo maana wazaz si marafiki useme utabadilisha!!!!!
Yaan inauma sana mzee wako hali yake ni kama vile halafu uko busy kujirekodi video ukihesabu mapesa na malaya zako yaan alokuloga nahisi alishakufa!!!!!!
 
Ndugu uko timamu kweli kichwani ama haukifahaumu unachokiongelea!!

Sent using Jamii Forums mobile app
Nakijua vyema sana, yani maumivu unayoyajua ya kuachwa kimapenzi na mtu unaye mpenda hayafikii hata theluthi ukija tambua haya ya diamond.

Psychologist wenyewe wanatambua ugumu wa hili.

Kapige mimba sehemu alafu potea ukapigike baada ya miaka 23 kamfuate huyo mtoto akikusamehe nahama hii dunia. (Sumu atakayokuwa analishwa ni zaidi ya black mamba inayouwa within 1hour)
 
Umefikiria iwapo Diamond angekuwa maskini, huyo mzee angemjali mwanae?
 
Mzee aende zile ofisi za pale karume yataisha faster[emoji28][emoji28]

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Nimekuelewa vyema mkuu.

Ni wazi kuwa mzee huyu ana matatizo yake, tena makubwa tu. Hana zile busara za utu uzima. Angeweza kutafuta watu wenye heshima zao ili wamsaidie. Kuongea mara kwa mara kwenye media kwamba watoto wake hawamsaidii, wakati inajulikana wazi kuwa hana haki ya kusaidiwa pia inaongeza hasira.

Mawazo yangu mimi ni kwamba, kuendelea na hali hii hakumsaidii chochote Diamond, sana sana kunamuaibisha tu baba yake na kumvunijia heshima yeye mwenyewe (devided opinion). Anaweza akamsaidia kama anavyowasaidia wanajamii wengine asio wajua na maisha yakaendelea. Kwanza yeye mwenyewe anaanza kupata lawama sasa hivi, kutoka kwa mama za watoto wake, kwamba hatimizi majukumu yake ipasavyo.
 
Platnumz hajafanya fair,Ila Kwa wazazi Pia unapokuwa na nguvu angalia nguvu zako zisiwe dhidi ya familia yako,huna kitu admit tu Kwa familia yako kwamba Mimi napumulia gesi a suala la kutelekeza familia,ipo siku utakuja kuwa mnyonge tu na wale uliowabeza watakuwa na nguvu kuliko wewe,utawapigia goti tu na Mungu atakuweka hai Hadi unabii utimie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…