Ushauri wa Bure: Diamond saidia baba yako

Sure

Sent using Jamii Forums mobile app
 



Anasubiri afariki ili afanye mazishi ya kifahari, wakati dini yake pia haimruhusu kufanya mazishi ya kifahari, kikubwa ni kumstiri maiti,
ipo siku atajutia
 
Waganga wake including Mama yake wanamdanganya sana.
Laana itamtafuna sana maana hajielewi na imani ya kishirikina ni mbaya sana
Unakuwa mbali na Mungu na wasiwasi hauishi


Sent from my SM-G570F using Tapatalk
 
Diamond akumbuke bila kujali Baba kakosa nini ila ni maamuzi yake (Baba) ndio yamesababisha yeye kuwepo.

Huwezi jua ni magumu gani alipitia mpaka kukutana na Mama, na kama angekata tamaa wala kusingekuwa na kiumbe wa kuitwa Nasib.

Huenda hata jamaa alilazimika kuiba au labda aliuza kitu ili Mtoto (ambaye sasa hivi ndio Mama Diamond) aingie kingi, Mondi mwenyewe anajua gharama za kupata Totoz.
 
Na wewe Diamond, hujui kama charity begins at home?? unaanzaje kusaidia watu baki usio na nasaba nao na kumuacha mzazi wako akidhalilika kwenye media??

Your a big man now and have kids too don't forget that KARMA IS A DOG.
 
Mi siamini kama kumzaa mtoto ni kumsaidia ,mzazi amemzaa mtoto Kwa Raha zake
 
Tatizo ni Visasi vya Wanawake.....
Usikute hata chanzo cha Baba kuondoka ni Mama......!
........Mama keshachimba Mkwara, kuwa nikisikia umemsaidia Baba yako nakuachia radhi!!
 
Ambao mmebahatika kuishi na wqzaz wenu wote wawil mtaona mond anamakosa sana Ila hamjui maumivu yake ya maisha bila mzazi au masha ya kukataliwa na mzazi

Hii ni kawaida sana kibinadamu

Sent using Jamii Forums mobile app
Tena afadhali huyo Mond mzazi wake aliondoka kwenye maisha yake lakini mimi baba yangu alikuwepo and he did nothing, unamuomba msaada anakukata jicho kali kisha anakupush na kuondoka hahaha alisahau kua kazi zina mwisho na mwili huchoka, mwanzo tulimkunjia sana kwenye kikao alisema "Sorry" neno moja tu lililainisha mioyo yetu na sasa tupo nae fresh tu,

Msimpe kichwa Mond angalau yeye anajiweza saaa hivi kwa hiyo ni jambo la kushukuru, kukataliwa na baba ake ndio kulimpa nguvu ya kufight na sasa kafika hapo alipo pengine angekuwepo kwenye maisha yake asingekua hapo alipo.

Ajue pia anavyoendelea kumkunjia baba ake na akifa bila kuwekana sawa basi hiyo laana itaitafuna kizazi chake yaan atashangaa atakuja kuteswa na mmoja wa watoto wake au hata mjukuu wake na itaendelea hivyo hivyo.
 
watoto waliotelekezwa na baba zao wanakujaga kutusua sijui kwa nini...diamond amshukuru baba yake kwa kumtelekeza ukute asingemtelekeza asingepambana kufikia hapo. Sijasema ampe hela, mzee bado ana nguvu kabisa yule
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…