ziloi
JF-Expert Member
- Apr 15, 2018
- 758
- 1,063
Kweli wewe naye mtu. Bado una utoto mwingi au kichwa bongo fleva. Maana mwenye hekima na busara hawezi ongea upuuz huu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakuna kitu kama hicho ... niupuuzi mkubwa huu ..mzazi unapaswa kumlea mwanao nakumpatia mahitaji yake ya msingi yatakayo muweza kumpatia msukumo wakuweza kuzifikia ndoto zake ",
Hata kama ni mzazi masikini komaa na family yako ipatie matunzo hata kama ni haba na uionyeshe upendo" watoto wakija Julia wataelewa tu kwamba mzazi wetu ni masikini lakini hakuwahi kutu telekeza alikuwa pamoja nasi katika kila hali "
Sasa kama wewe ni mzazi halafu uliikimbia family yako" na kumuacha mtoto wako akipitia tabu za maisha ", hakika haustahiki kuonewa huruma na dunia .... acha yakukute mazito
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app