Ushauri wa bure kwa abiria wa Bodaboda; Usipande bodaboda kama...

Nchi zilizoendelea zilishapiga marufuku haya matakataka mjini.

Kwanza zinachafua mji, zinaongoza kwa kuleta ajali na kuua vijana.

Godbless lema alisema vyema kabisa, Bodaboda ni laana.

Sent from my Infinix X657B using JamiiForums mobile app
Bodaboda ziendelee kupewa airtime maana fikiria maelfu ya vijana waliojiajiri kwenye bodaboda wakiwepo mtaani bila ajira.Vibaka na majambazi wataongezeka
 
Pole sana Mkuu
 
-Boda boda kanyoa kiduku
-bodaboda ana kandambili/yebo
-Bodaboda kavaa pensi
-Bodaboda anayekuita kwa makelele
-bodaboda yenye mziki
-Bodaboda aliyevaa singlendi.

Kimbia fasta.
 
Thanks
 
Hivi kwanini wameng'oa? Hawataki usumhufu wa kuangalia nyuma au?
 
105: Usipande bodaboda yenye mziki mnene ni hatari sana. Unaweza kujikuta ndani ya tairi za semi au tipa
 
Kwa wa Arusha usipande boda boda Isio kua na taa[emoji81][emoji81]wahuni wana chomoa taa Og .wana weka mishumaa kabsa ile
 
Boda boda imekatisha maisha ya ndugu yangu mwezi uliopita,
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…