Ushauri wa bure kwa billionea Kidukulilo/ Bill Lugano

Mashirika ya kimatataifa walimwambia. Hatuna ajira ya kuendana na elimu yako nakwadunia hii hupaswi kuajiriwa labda mbinguni!!!! Watu wanaelimu bhana.
Ila kidukulilo anachekesha sana. Kuna siku kwenye uzi wake flani anasema alipokuwa mdogo watoto wa uswaz walimshangaa sana walipowatembelea kwao. Kwasababu mabeki tatu walikuwa wakimkimbizakimbiza kumlazimisha ale mayai, burger, sausage na anywe maziwa na Yogurt lakini yamemkinai. Wale madogo walimshangaa wakatamani wangekuwa katika nafas yake
 

Sijajua Elimu na Exposure uliyo nayo hasa kwenye mambo ya magari(we ni injia mwenye degree ngapi kwa upande wa mechanics?umesomea chuo gani Duniani? Unaweza zungumza lugha ngapi? Una cheti cha utambuzi wa Jumuiya ya Mainjia Duniani? Sidhani.

Maisha yangu yote Mzee huwa ananambia BURE GHALI. Mimi si Maskini mpaka nichukue ushauri wa Bure. Nina jopo la Washauri ambao nawalipa. Sinunui gari mpaka kwanza wafanye research na kunambia kuwa hili linafaa au halifai. Hayo magari naendesha sana nikiwa UK,USA,CANADA,NORWAY,DUBAI,SWEDEN n.k

Hatuna barabara za lami hapa Tanzania ndo maana na prefer sana SUV. na gari zangu zote nazonunua ni mpaka kiwanda kinihakikishie kuwa wana dealers hapa Tanzania au wanaweza tuma wataalamu wa kufanya service n.k

Ushauri wa bure muwe mnapeana nyie wenye kipato kidogo. Mimi siamini katika ubure. Na sababu ni ushauri wa bure hata naona ushauri wenyewe haufai. Nmewatumia thread yako wataalamu wangu wamecheka sana kuwa we kijana hujui ulisemalo. Wengi walioleta magari aina hiyo TZ wanafanya modification ya kuyainua ili yasiguse chini. Kitu ambacho kamwe siwezi fanya.
 
Himself aminia billionea wa JF!
 
Vigari gani hivo viko kama mauthi ya kompyuta.
 
Vigari gani hivo viko kama mauthi ya kompyuta.
Yani vigari vina sura mbaya vinauzwa mamilion ya dollars. Kuna hii hapa McLaren Senna Mungereza hakina hata buti sijui ukienda shopping utaweka wapi mazagazaga kanauzwa 5 million dollars zilitengenezwa 500 tu na zote watu walisgabook zikiwa kiwandani. Used kwaanzia 2- 3 million dollars. This is not right at all.
 
Wivu tu! Billionea L hawezi kuendesha hayo magari ya Mabilionea Wahuni!!
 
Izo ni dharau kwa boss , kiduku Lilo ebu mtumie Dollar [emoji385] bilioni moja akanywe supu anataka kukupa vigali vdg vya kazi gani ss
 
hamna barabara nzuri
 
Kwa hiyo ukiwa tajiri hutakiwi kuwa na nidhamu ya hela? Waafrika tunaamini sana katika ushirikina utasikia yule utajiri wote ule anaendesha baiskeli!kwa wenzetu hata waziri anaenda ofisini na bike.
 
Uwongo hizo ni visingizio tu. Mbona barabara zetu ni kama Zimbabwe na Hayati Ginimbi alikuwa akiziendesha? Mabillionea wetu wengi kununua Bugatti tu wanatakiwa wauze mali zao zote.
Wewe una hata corolla kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…