Wasafi naona lebo iliyo chini ya kifamilia zaidi mama,dada na kaka mkubwa mwenyewe hasa mama ana nguvu sana hadi anamchagulia jamaa nyapu za kukanyaga na kumfichia siri kwa nyapu zingine kwa hiyo mama ndio lebo yenyewe ya wasafi akichukuia huna nafasi
pia kuigeuza lebo kijiwe cha matozi upo sahihi na naona nguvu ya mziki wao inategemea wanawake wenye majina kufanya vizur ktk mziki wao ngoma nyingi zimeenda na kuamsha wanawake
sijajua kwa nini rayvan yupo nyuma sna ila namkubali mno na rich mavoko.