Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Hivi hawa watu wasiojulikana aka watekaji kwanini wasiziondoe taka ka hizi mjini...

Nimeiona clip yake alipovamia ofisi ya tigo akitukana wale staff...

Mpuuzi sana kijana huyu. Hivi hajui kama wanaweza mfunga kwa matusi yale...

Mpumbav sana.
 
Hao huwa wanafanya vitu kama sifa ili tu waonekane
 
Alafu vurugu sio kwenye gari tu hata kwenye maisha yake ya kawaidaaa ,na anapenda kuonekana saaana akiwa sehemu za starehe na kujifanya yeye ndo yeye i remember tukiwa udsm siku tukawa tumetoka tuanenda samaki samki mcity basi alovyotuona jaman kaka ana shobo na misifa huyu sijapataa kuonaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…