Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Ndio nani ??

“ A fool and his money are soon parted “ ~ Engish Proverb
Hivi huyu Dogo ndio yule wa ITV tangu kipindi kile ama

Huyo Dogo ndio nani?

Ni Mtangazaji wa EATV Kipindi Cha 5 Select ,Dance Mia Mia etc.
TB5.jpg
 
Anakomaa kusema kua alikua hajalewa na hakua speed ila kwa watu wanamjua kua ni mshamba fulani toka Mwanza aliekomaa kutengeneza ID hapa mjini hawezi kuendesha kistaarabu kabisa ashukuru Mungu mtoa roho alikua busy hakumuona time ile analeta mbwembwe zake naamini atajifunza kitu maana wahuni wa kumbeba kumpeleka Leaders club akiwa kwenye box mbona wapo wengi tu.
[emoji1] nimecheka hapo uliposema wahuni wakumpeleka leaders club akiwa kwenye box wapo wengi.
 
Umasikini ni mbaya ila kibongo bongo anaonekana ametoboa kiaina na Subaru Legacy yake ya 2000's afu automatic na yeye anajiona CAR ENTHUSIAST,hahah
 
hivi kumbe bado nae ni mtangazaji, nlishaacha kumfatilia mda sana baada ya kuona anacopy swagga
 
Hivi hawa watu wasiojulikana aka watekaji kwanini wasiziondoe taka ka hizi mjini...

Nimeiona clip yake alipovamia ofisi ya tigo akitukana wale staff...

Mpuuzi sana kijana huyu. Hivi hajui kama wanaweza mfunga kwa matusi yale...

Mpumbav sana.
Hahahaha! eti taka.
 
Alafu vurugu sio kwenye gari tu hata kwenye maisha yake ya kawaidaaa ,na anapenda kuonekana saaana akiwa sehemu za starehe na kujifanya yeye ndo yeye i remember tukiwa udsm siku tukawa tumetoka tuanenda samaki samki mcity basi alovyotuona jaman kaka ana shobo na misifa huyu sijapataa kuonaa
hata mm ngeshoboka tuu... nione wowowo mbele yng afu nnajikubali kwnn nsiwe na shobo
 
Back
Top Bottom