Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Legacy yenyewe ipo riced sana.
Hawa vijana wanao endesha vi artezza na Subaru wana vurugu flani hivi zisizo na maana.
Ile sauti inayotoka kwenye muffler inawazuzua kweli,unakuta gari mlio mkubwa ipo hapo hapo.
Wakija kumiliki gari zenye engine za maana tutawazika mapema.
Badilikeni matozi wote..
Artezza Subaru ni 15M, kiwanja upana futi tatu, urefu futi saba, kina futi sita ni bureeee!
kunywa bia mkuu gari yenyewe base model eti nae driver .... wazungu wanasema fvckin ricer
 
Pole yake sana

Ila jamaa simkubali wala nini,ana sifa sana,hata anavyotangaza kipindi chake sifa nyingi na dharau flani hasa akikutana na msanii chipukizi tena wa mkoani hahaha atapigwa madongo na vimaswali vya kejeli mpaka aone moto
kula like .....
 
Pole yake sana

Ila jamaa simkubali wala nini,ana sifa sana,hata anavyotangaza kipindi chake sifa nyingi na dharau flani hasa akikutana na msanii chipukizi tena wa mkoani hahaha atapigwa madongo na vimaswali vya kejeli mpaka aone moto

hata kale ka shimii wanadharau sana kwa wasanii wachanga
 
Bongo ulimbukeni mwingi sana wengine wanajiita team Telza hawa ukikutana nao barabarani inaweza kufakamia Pampa .....
 
Legacy yenyewe ipo riced sana.
Hawa vijana wanao endesha vi artezza na Subaru wana vurugu flani hivi zisizo na maana.
Ile sauti inayotoka kwenye muffler inawazuzua kweli,unakuta gari mlio mkubwa ipo hapo hapo.
Wakija kumiliki gari zenye engine za maana tutawazika mapema.
Badilikeni matozi wote..
Artezza Subaru ni 15M, kiwanja upana futi tatu, urefu futi saba, kina futi sita ni bureeee!
Hahaaaaaa
 
Personal attack zimeluwa nyingi mno, shaurini basi sio kuobesha chuki za wazi! Kisa dogo anajulikana mtangazaji! Sio poa bana kuweka chuki na wivu wa hivi mioyoni
 
[emoji3][emoji3] tbway ndio zake..kuna washkaji zangu nlimaliza nao chuo nae ni washkaji zake sana tu..wanajiita TeamTezza..wanafujo vibaya mno..na mmoja kati yao alipataga bonge la ajari kwa sifa hzohzo tulijua atakufa ..ila bado wanaendelea na michezo yao
 
Legacy yenyewe ipo riced sana.
Hawa vijana wanao endesha vi artezza na Subaru wana vurugu flani hivi zisizo na maana.
Ile sauti inayotoka kwenye muffler inawazuzua kweli,unakuta gari mlio mkubwa ipo hapo hapo.
Wakija kumiliki gari zenye engine za maana tutawazika mapema.
Badilikeni matozi wote..
Artezza Subaru ni 15M, kiwanja upana futi tatu, urefu futi saba, kina futi sita ni bureeee!
[emoji3] [emoji3] [emoji2] [emoji2] dah
 
Back
Top Bottom