usser
JF-Expert Member
- Sep 25, 2015
- 13,956
- 14,032
Waache shimo la fut 6[emoji3][emoji3] tbway ndio zake..kuna washkaji zangu nlimaliza nao chuo nae ni washkaji zake sana tu..wanajiita TeamTezza..wanafujo vibaya mno..na mmoja kati yao alipataga bonge la ajari kwa sifa hzohzo tulijua atakufa ..ila bado wanaendelea na michezo yao
N bureee[emoji23] [emoji23] [emoji23]