Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Ushauri wa bure kwa TBWAY 360 wa EATV

Akomee shenzi ..kama mara mbili hivi nilimkosa kosa kule mikocheni Nikamwambia ntakupata tu siku moja akajibu Ma A$$ Ila shughuli alielewa maana nilikua na zile cruiser za TASAF
 
Kamiliki gari juzjuz alafu analeta mbwembwe sasa kataga na gari hiyo imekwisha labda kma anabima kubwa atalipwa..atwn vijana wengine waliatamia kwa speed za hizo gari ukifanyia maping ndio tabu
Bima hawalipi ajali ya kujitakia. Sio rahisi kihivyo
 
naona humu mmejazana haters wa tbway, guys no one is perfect, kikubwa ni kumshauri tu next time awe makini zaidi, wengi humu mnatoa chuki zenu dhidi ya tbway cjui kawakosea nini
Ukisoma vizuri kila post, utaona dogo kakosea wapi. Just read. Watu wanatapika nyongo tu leo. JF is never boring [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji485] [emoji485] [emoji490]
 
Yeye alizidi unajuaa kujitoaa fahamu mbele ya msichana saa nyingine inakushushiaa hadhi kutokana na status yake angetuliaa tu sisi ndo tungeshoboka labda
Umeongea point sanà,,hicho ndo nachoamini mimi kwenye maisha yangu,,kushobokea demu ni kuonesha ulimbukeni,sio kila demu kumrukia rukia tu
 
Kwan ww anakuhusu nin kila mtu na starehe zake....mtu akulishi, akusomeshi, akusaidii Kwa chochote bado unamashauri achana na upuuzi km hao...cha muhimu fata yako
 
Back
Top Bottom