ras jeff kapita
JF-Expert Member
- Jan 4, 2015
- 22,152
- 33,899
Libaba jitu zima hiloBado mtoto
unawafahamu watoto weye!!?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Libaba jitu zima hiloBado mtoto
Umeshawahi kunipa nikashindwa kukupelekea moto ? [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]Vp una vinasaba vya upunga nini mbona kicheko cha kimbea ivo?
Wanakufua wenzio nini
ila mshamba hata kama sio kiwango kile.....Lakin sio mshamba kama magufuli
Ndio maana nimekwambia wewe ni punguani, hizo simu za iphone nimeacha kutumia miaka kadhaa na ipo room imekaa tu ukitaka njoo uchukue.Ok tuhame kwenye magari tuhamie kwenye simu! Kwahyo unataka kufananisha iphone na Tecno au sio? [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] umasikini mbaya saana! By the way kipindi kinaanza muda si mrefu make sure unacheki EATV Brother 5 select Best show in Town
Sawa kabangaila mshamba hata kama sio kiwango kile.....
We jamaa unatokea mkoa gani aisee, Dunia nzima inajua iphone na samsung ndo best phones sasa unaposema iphone umeweka ndani unatumia nn sasa ambacho wewe unahisi ni bora kuliko iphone? Tecno? Aisee kweli ushamba mzigo ***** kwanza sina imani kama hyo picha ni yako itakuwa umetumiwa wewe halafu iphone yenyewe hiyo ishapitwa na wakati watu tunaongelea iphone X sasa hvNdio maana nimekwambia wewe ni punguani, hizo simu za iphone nimeacha kutumia miaka kadhaa na ipo room imekaa tu ukitaka njoo uchukue.
Wanaume wanaotumia iPhone ni walegevu sanaWe jamaa unatokea mkoa gani aisee, Dunia nzima inajua iphone na samsung ndo best phones sasa unaposema iphone umeweka ndani unatumia nn sasa ambacho wewe unahisi ni bora kuliko iphone? Tecno? Aisee kweli ushamba mzigo ***** kwanza sina imani kama hyo picha ni yako itakuwa umetumiwa wewe halafu iphone yenyewe hiyo ishapitwa na wakati watu tunaongelea iphone X sasa hv
View attachment 710678
Umofia Kwenu wana JF,
Imeniladhimu nimuandikie waraka mfupi ndugu yetu Tonny Aka Tbway360 ili watu walio karibu nae au yeye akipitia humu JF aweze kuusoma.Nimeshawahi kukutana na Huyu jamaa mara kadhaa,mara ya kwanza nilimuona maeneo ya Mlimani city akiwa anatoka NSSF kufatilia nadhani mafao yake,nilimuona mtu wa vurugu sana kwenye gari lakini nikaona bado kijana labda bado ana ushamba wa gari.
Mara ya Pili niliona Clip mtandaoni akikimbiza gari kwa speed ya ajabu kisha akakamata Hand-Brake gari ikarotate ikarudi ilipotoka na ilikuwa eneo la wazi kabisa barabarani maeneo ya ununio,nikaona huyu jamaa kumbe ndi0 hulka yake kukimbiza magari kwa speed za hatari >160km/hr tena maeneo ya mjini.
Mara ya tatu tena nilimuona live akiwa quality plaza katoka kwenye ATM kutoa pesa,alitoka na speed kubwa sana hadi nikashangaa inakuwaje anatoka na speed kubwa namna ile wakati mbele tu kama mita 20 kuna foleni? Nikagundua jamaa bado haijui gari vizuri,yes ni dereva lakini haijui gari vizuri,mtu anayeijua gari lazima ataiheshimu.
Kilichonituma niandike huu waraka ni kwamba Jana Tbway360 alikula mzinga wa hatari na gari kubilingika mara mbili,kwa mujibu wa maelezo yake eti anasema alikuwa speed ndogo tu akapushiwa na Suzuki aliyekuwa anaendesha mfanyakazi wa tigo ikamgusa ubavuni na kupelekea gari kubilingika mara mbili.Tbway anatufanya sisi watoto wadogo,gari kwenye speed ndogo uguswe tena na suzuki swift ubilingike mara mbili?
Dogo Tbway360 hiyo umegewa kama funzo,hiyo ni rasharasha tu,punguza sifa barabarani,kwa mtu anayefahamu gari hawezi kufanya ujinga wa kukimbiza gari kwa mispeed ya hovyo hovyo tu,next time hutopata hata muda wa kwenda TIGO HQ kuwatukana SGA....Haya sasa kama ulikuwa na bima kubwa fuatilia michoro ya ajali uende bima kama ulikuwa na 3rd party ugulia maumivu ya Legacy.
Ndinga Baada ya Kula Mzinga.
View attachment 710688
Gari yake kabla ya ajali.
View attachment 710689
VIDEO CLIP TBWAY360 ALIPOVAMIA TIGO HQ NA KUANZA KUWATUKANA SGA SECURITIES KWA TUHUMA ZA KUMFICHA MFANYAKAZI WA TIGO ALIYEIGONGA GARI YAKE.
Hahah umeniacha hoiNilipewa na mzee hilux double cabin [HASHTAG]#ACE[/HASHTAG] kwenye vioo bado kuna # TZJ. Nilipewa tu maana yeye alinunua gari mpya... Kwanza Kabisa Gia number moja imekufa inaondoka na mbili. Kutoka gia number 4 kwenda 5 kuna wakati haikubali. Nikiipack huwa naiweka kwenye kamlima kidogo ili nikitoka niserereke kidogo niweke gia ndio niwashe ndinga.
Nimeliongezea mbwembwe fulani saivi nikama lamborgin mlio wake. Nikipita lazima wanikubali maana nina sifa balaa .aibu inanipataga ninapotaka kuondoka na mbili gari inakuwa kama inataka kupaa hiv.. Wahuni utaskiaaaaa weweeeeeee.... Miluzi kwa wingi.....
Pole tbway tuko pamoja mdau
We kenge unawashwaPole yake sana
Ila jamaa simkubali wala nini,ana sifa sana,hata anavyotangaza kipindi chake sifa nyingi na dharau flani hasa akikutana na msanii chipukizi tena wa mkoani hahaha atapigwa madongo na vimaswali vya kejeli mpaka aone moto
Hahahahhahahaaaaaaaaa umejua kunichekesha aiseeeeeeNilipewa na mzee hilux double cabin [HASHTAG]#ACE[/HASHTAG] kwenye vioo bado kuna # TZJ. Nilipewa tu maana yeye alinunua gari mpya... Kwanza Kabisa Gia number moja imekufa inaondoka na mbili. Kutoka gia number 4 kwenda 5 kuna wakati haikubali. Nikiipack huwa naiweka kwenye kamlima kidogo ili nikitoka niserereke kidogo niweke gia ndio niwashe ndinga.
Nimeliongezea mbwembwe fulani saivi nikama lamborgin mlio wake. Nikipita lazima wanikubali maana nina sifa balaa .aibu inanipataga ninapotaka kuondoka na mbili gari inakuwa kama inataka kupaa hiv.. Wahuni utaskiaaaaa weweeeeeee.... Miluzi kwa wingi.....
Pole tbway tuko pamoja mdau
Bangi mbaya sana!!RAIS MAGUFULI AZINDUA BARABARA YA RAIS KIKWETE ,JE NINI TAFSIRI YAKE
Itakumbukwa kuwa barabara hii ilikalimika tangu March 2014 lakini leo imezinduliwa hakika nimeduwaa, Bado natafakari tukio la wasaidizi Wa Rais kuendelea kumpotosha Rais wetu kwa mara nyingine tena,waache huu mchezo mara Moja
Sote ni mashahidi barabara ya Isaka-Ushirombo ilikamilika tangu awamu ya Rais Mstaafu Jakaya Mrisho Kikwete ambaye barabara hizi kwa pamoja ilizizindua tarehe Aug 24/2007 wakati anazindua barabara zenye urefu Wa km 169.7 ambazo zilitumia Tzs bill 94.8 pekee tofauti na hesabu inayotolewa leo ya km 132 kwa Tzs bill 163 hesabu ambayo inaacha maswali mengi kuliko majibu,
Je? Kitendo cha Rais Magufuli kuzindua miradi ya mtangulizi wake Mh Jakaya Kikwete mzee Msoga kiboko ya Demokrasia kinatupa mtazamo gani Watanzania? (Sijambo baya kwa kuwa wote ni ccm lakin)
Je nikushindwa kwake kuwa na miradi mipya? Je nikufanyia siasa kazi za mtangulizi wake? Je ni kuwahadaa watanzania kwamba awamu ya Tano inafanya makubwa zaidi ya Serikali zilizopita?
Tutafakari sote..
Rais Jakaya Kikwete Wakati anazindua miradi hiyo alisema maneno yafuatayo naomba kumnukuu
"Barabara ya Ilula -Tinde mkoani Shinyanga na Nzega mkoani Tabora kupitia Tinde hadi Isaka mkoani Shinyanga yenye kilomita 169.7 imegharimu kiasi cha sh. bilioni 94.8 zilizotolewa na wafadhili.
Rais Kikwete alisema serikali imeshaanza mawasiliano na Mfuko wa Abu Dhabi kutoka Falme za Kiarabu kwa ajili ya kupata fedha za ujenzi kwa kiwango cha lami kwa barabara ya Manyoni, Itigi, Tabora, Urambo, Kaliua hadi Kigoma,
aliendelea
kusema "Barabara nyingine ambazo ziko kwenye kiwango cha lami ni Dodoma-Singida (kilomita 245), Singida- Shelui (kilomita 110), Shelui- Nzega (kilomita 108), Nzega- Tinde/Isaka- Shinyanga- Ilula (kilimota 169), Ilula- Mwanza (kilomita 101), Isaka-Kahama- Rusumo/Kobero (kilomita 400) na Minjingu-Babati hadi Singida, na pia barabara ya Namanga hadi Arusha."
Rais Jakaya aliendelea kusema "Hata barabara ya Lindi hadi Mtwara ipo katika hatua nzuri na kwamba ile ahadi iliyotolewa na aliyekuwa Waziri wa Ujenzi, John Magufuli ya kusafiri kwa teksi kutoka Mtwara hadi Mwanza iko palepale.
Magufuli sasa ni Waziri wa Ardhi(Wakati huo ambae Leo ni Rais wetu)," Haya ni maneno ya Jk ya tarehe 24/08/2007 saa 8;21 mchana.
Wakati huo huo katika mpango Wa bajeti ya Ujenzi,uchukuzi & Mawasiliano ya mwaka 2016/17 Waziri Wa wizara mpya ya Ujenzi,Uchukuzi & Mawasiliano iliyoanzishwa Nov mwaka 2015 Mh Prof Makame Mbarawa akiwa bungeni alisema maneno yafuatayo naomba kumnukuu
"Mheshimiwa Spika, kuhusu barabara ya
Isaka – Lusahunga – Rusumo (km 392), hadi
Aprili, 2016 hatua ya utekelezaji iliyofikiwa ni
kama ifuatavyo:
(i) Sehemu ya Isaka – Lusahunga (km 242)
Ukarabati wa sehemu ya Isaka – Ushirombo (km
132) ulikamilika Machi, 2014 na kwa sehemu ya
Ushirombo – Lusahunga (km 110) kilometa 54
zimekamilika kujengwa kwa kiwango cha lami"
Kilichofanyika leo ni mkutano Wa hadhara Wa kisiasa tu ambao wengine hawaruhusiwi huku tukishuhudia Mh Diwani Wa Bugalama (CHADEMA ) akihamia CCM na kututia hasara ya Tzs mil 500,000,000 gharama za kumpata diwani huyu mwaka 2015 na mwaka huu 2018 ambae naamini atapitishwa yeye kugombea tena,
Rais wangu mambo haya hayana afya kwa utangamano Wa Taifa letu lenye mfumo Wa kidemokrasia kwa zaidi ya miaka 26 sasa,
wanaotaka kuja CCM ni wengi na wanatutia hasara nawewe ukaridhia bila kujiuliza kwanini hawakufika pale
kwani sikuona tatizo la nafasi wala uzio mbona hawakuja, hapa wanakuchezea tu
"Tanzania ndio nchi pekee tuliyonayo lazima tuilinde kwa nguvu zote"
"Endeleeni kuniombea"
Alloyce Nyanda.
Mtozi.
Raia Wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania
Unazingua mzee usitumie hizo emoj ni ushamba huo!!!. Nakushaur tu kama vipi unaweza nikaushia usije na povuUmeamia kwenye Emoji aisee Dogo mbona una panick? Wewe Tbway humfikiii kwa lolote ndo maana unaponda Mkemee asiendeshe gari hovyo ila sio unasema Dogo masikini [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Hizi emoji naona zinakutekenya kinoma ngoja niongeze ***** [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]inauma sana dogo wa 1994 anakushinda kwa mafanikio unasingizia ulimbukeni ? Wewe ungekuwa unatype hapo hata kwa ka iphone 4 nahisi ungeandika sent by iphone ***** [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mrekebishe asiendeshe hovyo ila usimponde useme eti Tbway Masikini, Hivi unawajua masikini wewe ? Mtu anayesukuma subaru unamuita masikini_ je na wewe unaegombania daladala Mbagala tukuitaje?
Kweli kabisa huyo dogo abadilike ...akue sasa ...hizo sifa zitamuondoa ( Mwenyezi aepushe mbali) .... hiyo ajali pengine ni onyo ili abadilike ....akishupaza shingo huu uzi utakuja kuibuliwa watu waonekane manabii ....