Ushauri wa bure : usijaribu kwenda kupima HIV/UKIMWI kama hujajipanga kiakili.

Ushauri wa bure : usijaribu kwenda kupima HIV/UKIMWI kama hujajipanga kiakili.

Kuna wakati nliendaga nchi moja
Kwenye moja ya process yao ilikuwa lzima nifanye medical checkup
Ambayo wanakucheki hadi ngoma
Lakini kidume nlijilipuaaa
Alafu syo unaenda wewe tu kupima
Wao ndy wana ku direct uende kwa mtu wao hapa anakufanyia
Tulikuwa watu 5 kati ya 5,watu 4 walisanda
Ni kwli unachosema kupima ngoma usikurupuke

Ova
View attachment 1095073
Upo sahihi mkuu, hii form nilishaitumia, baada ya kuishi huko kwao kwa mwaka mzima, siku nikaletewa form kupimwa upya pamoja na mke na mtoto baada ya wao kuja kuungana na mimi, sema wenzetu wapo makini hata hivyo naona cancer na wao inawafyeka kama ukimwi huku kwetu
Muhimu tuwe makini na afya zetu hasa kama tuna ndoto za kwenda kusoma au kuishi ng'ambo maana kuna nchi ukichakutwa na Virus hawakubali hasa kama unaenda kuishi zaidi ya miezi sita
 
Upo sahihi mkuu, hii form nilishaitumia, baada ya kuishi huko kwao kwa mwaka mzima, siku nikaletewa form kupimwa upya pamoja na mke na mtoto baada ya wao kuja kuungana na mimi, sema wenzetu wapo makini hata hivyo naona cancer na wao inawafyeka kama ukimwi huku kwetu
Muhimu tuwe makini na afya zetu hasa kama tuna ndoto za kwenda kusoma au kuishi ng'ambo maana kuna nchi ukichakutwa na Virus hawakubali hasa kama unaenda kuishi zaidi ya miezi sita
Duh kweli hii process haikwepeki ukitaka kwenda lazima wakugeme damu
Alafu wajanja hawakuambi uende unapotaka wewe kwenda kupima unaenda pale wao wanapokwambia kufanya testing
Na wana doctor wao maalum

Ova
 
Duh kweli hii process haikwepeki ukitaka kwenda lazima wakugeme damu
Alafu wajanja hawakuambi uende unapotaka wewe kwenda kupima unaenda pale wao wanapokwambia kufanya testing
Na wana doctor wao maalum

Ova
Wanajua sisi waafrika hatuaminiki na madaktari wetu tunaweza kudanganya. Si umeona na elimu zetu ukienda baadhi ya nchi hawazikubali hadi usome kwanza kwao. Kuna ukweli fulani mkuu!
 
Wanajua sisi waafrika hatuaminiki na madaktari wetu tunaweza kudanganya. Si umeona na elimu zetu ukienda baadhi ya nchi hawazikubali hadi usome kwanza kwao. Kuna ukweli fulani mkuu!
Si wanajua tunaweza kuchakachua majibu
Wale cic ni kupima ngoma na mambo ya forencic.....
Ila nashukuru nlitusua

Ova
 
Back
Top Bottom