Ushauri wa Bure: Wamiliki wa Radio Clouds FM ya Dar es salaam

Yaani mkuu unaeleza kweli kuna mpuuzi mmoja hapo juu anapinga sijui huwa anafurahiaje matusi hayo? jaman kuna watu wengine wamejaa mawazo mabaya tu!
Wengi ni chuki, roho mbaya na wivu ndio vinavyowa nyegeranyegera. Kila kukicha thread za clouds na kibonde tu, hii inaonesha walivyo juu. Pamoja na kuponda kwenu bado mnaendelea kuisikiliza tu kama vile hakuna redio nyingine. Si sikilizeni WAPO iliyokuwa upande wenu? Kwa taarifa zenu Clouds ndio baba wa burudani hapa Tanzania na mtaipenda tu kwa moyo au kwa chuki.
 
well said!! ujumbe umewafikia wahusika.
 
Weka clip moja kali ya production zako. haa tukusikie na wewe. sometme theory ni rahisi sana kuliko practical ndio maana unaona watu wanakiimbilia kwenye siasa. Sababu siasa ni therory tu.

Poa mkuu! mimi huwa nawafanyia kazi sawa na uhitaji wako! Nambie kama unahitaji kufanyiwa kitu kazi cha radio nikusukie program matata!
 
Siongezi kitu!
 

Umesema vizuri sana mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi!
 
Clouds FM ni Entertainment radio katika usajili wake mambo mengine nafikiri wanabangaiza tu

ni ushauri mzuri

Hata kwenye in entertainment wamepita imekuwa ni kuharibu vitu tu! hivi TCRA wanafanya nini?
 
Mwenyew nshaachaga kuisikilza hiyo radio station long time ago!hata'sikumbuk tena sauti zao!manake ni kichefuchefu
 
Kuna kila sababu ya Regulator ambaye ni TCRA kujua kuwa zaidi ya kutoa leseni anao wajibu wa kufuatilia na kuona kuwa mienendo na maadili ya Radio ipo sambamba na sheria, miiko na utamaduni wa Mtanzania pamoja na tasnia nzima ya uhabarishaji kupitia radio. Clouds wana mengi ya kujifunza na kujirekebisha. Chukueni hatua...
 
Umesema vizuri sana mtanzania mwenye mapenzi mema na nchi!

Mapenzi mema na nchi wapi pelekeni huko umbeya wenu, mafanikio ya wenzenu kwenu imekuwa ni kero. Hamuwezi kuwaacha vijana wafanye kazi zao kila siku Clouds hivi Kibonde vile. Hovyo radio producer unakaa kuproduce umbeya tu siku utavalishwa shanga hapa mjini, na hiyo roho yako utaendelea kusota hadi unakufa masikini wa roho mkubwa. Wewe huo ushauri wako kwa nini usojipe mwenyewe njoo hapa fungua redio tuone maana huo mtaji wenyewe kwa wewe mbeba mabox haukushindi. Yaani mijitu kama wewe hata siku haiwezi kufanikiwa.
 
kibonde bana!
 
Maoni ya mwandishi yamesomeka, lakini yako juu juu tu, hajaweka mapendekezo ya waziwazi nini kifanyike, yeye kama producer alitakiwa kila kosa aliloliona atoe mapendekezo yake bila kuwaachia Clouds assignment. Sema nini kifanyike kwa mtazamo wako.

Kwa baadhi ya wachangiaji, kumbe tunapenda kusikiliza, mmoja amewaponda Hando na kibonde lakini anasema anasikiliza kila asubuhi na jioni. Sasa kama upendi matangazo yao kwanini unasikiliza... moja kwa moja unawapenda!
 
Mwenyew nshaachaga kuisikilza hiyo radio station long time ago!hata'sikumbuk tena sauti zao!manake ni kichefuchefu

Huu ni mfano mzuri mtu tayari kishaacha kuisikiliza redio kwa sababu ya hayo yanayotangazwa! Lazima wajiulize na watende mema hapa!
 

Mkuu mapendekezo yako summarized kwenye red color mwisho wa hiyo thread! Na kwa mtu anayehusika hapa hahitaji mapendekezo kwa ukjweli upo wazi kama lugha chafu inatumika studioni hujui solution yake wewe?
 

Kweli kabisa mkuu! umetoa mtazamo mzuri sana!
 
Mkuu hayo unayoyasema hayajengi jiangalie kama unasema kweli
 
Mkuu hayo unayoyasema hayajengi jiangalie kama unasema kweli

Hata wewe huna nia ya kujenga bali ni chuki iliyosababishwa na madonda ya uchaguzi. Unataka tuamini Clouds ni redio mbaya eti kwa kuwa hawafuati seti fulani ya standards ulizo ziweka wakati ni dhahiri kati ya radio zaidi ya arobaini hapa nchini wao wanaongoza kwa kila kitu. Waambie na hao unaowatumikia hata wangekuwa ni malaika bado wasingekubalika na watu wote, mawazo hayo ya kutaka kumtusi au kumpa sifa mbaya kila aliyetofauti na mitazamo yao ni ya kidikteta na hayawezi kuvumiliwa na ndio maana watu waliwakataa na wataendelea kuwa kataa milele amina.
 
Naamini Clouds bado ni redio nzuri,kama wakitoka baadhi ya watangazaji ambao hawana la maana zaidi ya kutafuta umaarufu,kuna baadh ya vipindi nasikiliza lakin havina mvuto kama zamani,mf.power breakfast,jahazi,sport extra..only that.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…