Ushauri wa Bure: Wamiliki wa Radio Clouds FM ya Dar es salaam

Na ndio ninavofanya, nilipohisi simuelewi nilibadili station, isipokuwa haya yalikuwa maoni yangu na nafikiri hapa nina uhuru wa kutoa maoni ama? Mbona mkali mkuu ama una hisa Clouds?

Inawezekana anafanyakazi hapo na ni mmoja wa hayo madude yanayotakiwa yang'oke! mimi ni nimemwambia ole wake nikutane naye hapo clouds kwa mtitindo hiyo habaki mtu! kijana kama uko hapo anza kuandaa njia mapema!
 

Mkuu kijana yeye anapinga kwa sababu ni mfanyakazi wa hapo na ndiye anayeendesha bang zaidi sasa ajiandae!
 
Hukuwa na sababu ya kuwapongeza kwa kuwa na watangazaji wabunifu wakati umethibitisha ni wabovu,hawajivunii kulumba kiswahili,pamoja na hayo nakupa kongole kwa thread yako,binafsi siipendi hii radio!

Mkuu si wote pale wanadhambi, kuna wengine wako vizuri kama nilivyosema kwenye post!
 
Radio producer

samahani..unaijua vzr Clouds fm?.....unajua unachotaka warekebishee?......

broda kama wewe ni Radio Producer...c uombe kazi hapo..ukarekebishe hayo makosa?....
ni Radio ipi unaifanyia kazi ili nasi tujadili kazi zako?....hebu weka humu proposal..na treatment ya kipindi chochote tu..tuone km kweli wewe uko kwenye fani na ni mweledi......kama ulikuwa hujui hii ni radio ya watu...na hili utaliona siku ya IJUMAA watakapo zindua fiesta kwa mikoa minne kwa pamoja...ni hayo...
 

Mimi sijaja kuweka treatment wala nini hapa, nimeleta ushauri sasa wewe unakuja kunivimbia mimi nikueleweje? Kama ushauri haukuhusu basi usinifuatilie mimi!
 
mkuu mbn unapanic sasa..wewe si Radio producer umeproduce nn tuambie tusikilize ..mbn rahisi tu....wala ucpanic......hebu kuwa muwazi km kipindi gani kiko hivyo...

1..power break fast..ni asubuhi...walengwa hapo ni corporate

2.Leo tena ..saa tatu mpk saa saba..walengwa akina mama majumbani

3.XXl...saba mpk kumi...walengwa vijana majumbani na vijiweni.....

4.Jahazi......saa kumi mpk saa moja....walengwa watu wote

5.amplified.saa moja mpk saa 3....walengwa vijana

6.Sports Extra..saa tatu mpk saa nne

7.ala za roho saa 4 mpk saa sita ....walengwa wapendanao

sasa twende sawa nani anakosea alekebishwe..kuwa huru taja hata jina ..na makosa yake....
 

Kasome jinsi ya kupokea feedback! Hili ni tatizo kubwa sana kwa baadhi ya watu, wakipewa ushauri wanaanza wewe ulifanya nini tuonyeshe tuone, mara wanaanza kujitetea kama wewe ulivyoorodhesha vipindi hapo, wacha hayo mjambo hayo ni majina sikiliza sasa yanayotangazwa kwenye hayo majina! Mimi ni msikilizaji wa clouds na mtoaji wa comment tu! ukinifuatilia mimi utapasuka bure!
 
ni msikilizaji wa kipindi gani hasa.....kati ya hivyoo....
toa makosa yao...binafsi nitwaambia..cz nafanya nao kazi nyingi tu za matangazo...nakuhakikishia hilo niambie nani anastahili na nani hastahili?
 
ni msikilizaji wa kipindi gani hasa.....kati ya hivyoo....
toa makosa yao...binafsi nitwaambia..cz nafanya nao kazi nyingi tu za matangazo...nakuhakikishia hilo niambie nani anastahili na nani hastahili?

Beba ushauri wote upeleke!
 

Kaka umeonesha kiwango cha juu kabisa cha utovu wa nidhamu na busara, makejeli yote haya ni ya nini, radio producer hajakosea kabisa kutoa maoni yake, na mambo ya kubeba maboksi yamefikaje kwenye mjadala huu? Sasa hapo mumbeya ni nani wewe au yeye, maana naona ulicholeta hapa hakihusiani kabisa na mjadala wetu. Acha jazba au wewe ndo kibonde?

Najiandaa kwa matusi na kejeli kutoka kwako.Karibu.
 

Mkuu nimemwambia kama anafanya kazi hapo aanze kutafuta nyumba nyingine haraka, mimi siwezi kufanyakazi na watu wasiojua umuhimu na maana ya feedback!
 
Toka clouds iwe vuvuzela la MAGAMBA BOSS na nyoka wake wazee hiyo RADIO ikipoteza credibilty ya kusikilizwa na watu wenye akili timamu.
 
Huwa napenda story moja ya kwenye Biblia ,ile ya Mpanzi aliyekwenda kupanda mbegu sehemu mbalimbali, nyingine zilimea kwenye udongo mzuri,nyingine ziliangukia kwenye miba,nyingine kwenye miamba zikafa.Mwisho wa hiyo story huwa wanamalizia kwa maneno matamu "mwenye masikio na asikie"
 

Sounding wisely
 
Weee chukulia mfano; mtoto wako akisikiliza radio na huko redio akasaikia neno lililokaa kitusitusi vile na huyo mtoto akitoka hapo ataenda kutaja hayo maneno kwa wengine wewe kama mzazi utajisikiaje? ndo maana watu wanaipigia kelele mbofumbofu zote zilizozalishwa hapo ili jamii isiharibike!
 
ni msikilizaji wa kipindi gani hasa.....kati ya hivyoo....
toa makosa yao...binafsi nitwaambia..cz nafanya nao kazi nyingi tu za matangazo...nakuhakikishia hilo niambie nani anastahili na nani hastahili?
So wewe unaona kama Hakuna Tatizo pale ????

Soma sehemu ya Mwisho kabisa kwenye Mistari yenye Red!
 
So wewe unaona kama Hakuna Tatizo pale ????

Soma sehemu ya Mwisho kabisa kwenye Mistari yenye Red!
Nimezipata taarifa vizuri huyu dogo anafanya kazi pale! asubiri mapinnduzi!
 

Inaonekana maadili yake yapo zero huyo kijana ndio maana anasifia uozo!
 
kama kibonde huwa ananikera sana ci mimi hata wenzagu hapa ofn wamewahi kulalamika lugha chafu amezoea sana kutumia na aliwahi kuelezea cjui ndugu yake aliwahi kufanya kazi bandarini labda ndo huko alijifunzia eti mzee wa kanisa anajiia kujua kila kitu .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…