Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No kukuambia baeleze baelewe simaani wewe ni upande wangu, bali ni kuueleza ukweli. Mfano mbona mimi ni CCM lakini ndiye nilimshauri Lissu agombee urais!.Mimi ni chadema, usije ukaingia choo cha kike kuhisi nipo upande wa wenu.
Why?!.Nikimuona kijana au mwanaume ana shabikia CCM namshusha vyeo kabisa
Mkuu, kwa mfano, wewe Mayalla ungekuwa ndiye Spika, kwa sababu zile, ungeweza kumfuta ubunge Lissu?Time is the best judge!. Yaani NEC iogope kumkata mtu kwasababu ni maarufu saaana!, anapendwa saaana na watu!. Wait and see!.
P
CCM ya sasa imejaa waoga wa maisha na wanafiki na watu wa kujipendekeza tawala zote zilizopita zilikosolewa.Why?!.
P
Ndio maana akina sisi tumetaka kwenda Bungeni kusaidia mambo kama hayaMkuu, kwa mfano, wewe Mayalla ungekuwa ndiye Spika, kwa sababu zile, ungeweza kumfuta ubunge Lissu?
Sina shaka, wengi hapa tuna kuamini. Tena sana. Ila, kwa ule mlango uliotaka kuupitia, mmmmmm!Ndio maana akina sisi tumetaka kwenda Bungeni kusaidia mambo kama haya
Je, wajua kuna watu wazuri, waadilifu wenye uwezo, wanaotaka kuingia Bungeni kulisaidia Taifa, Bunge na kumsaidia JPM kwa dhati, lakini kwa vile...
P
Mkuu Mahanju, najua umeutoa ushauri huu kwa nia njema. Kwa vile muamuzi wa nani ni mgombea wa pamoja wa upinzani makini, utafanyika baada ya wagombea kupitishwa na NEC and not before, kwasababu mpaka sasa hakuna hata huo uhakika kama Lissu atapitishwa, kufuatia kuvuliwa ubunge kwa kosa la kukiuka maadili ya uongozi wa umma, mtu mwenye kosa la kukiuka maadili ya uongozi wa umma, anakuwa disqualified kugombea urais, hivyo, ikitokea Lissu ni disqualified, mgombea wa pamoja wa upinzani makini ni Membe.
Kwa Bernard Membe, the time is now or never, usimchuuze at 70 ndio aje kugombea!, he would stand no chances at all!, kwasababu hata 2025, ZZK mwenyewe anaingia ulingoni!.
P
Kuwa na busara sio kuogopa ; it is a way of avoiding unnecessary bad consequences. It’s not a secret kwamba Lissu has a following in the country both from ccm and Chadema for your information!! We don’t want the country to spill more blood za wakina Mwangosi, Gwanda etc zinatosha.Time is the best judge!. Yaani NEC iogope kumkata mtu kwasababu ni maarufu saaana!, anapendwa saaana na watu!. Wait and see!.
P
Wajumbe ni watu wenye busara sana kwani mtu kama Mayalla kuingia bungeni angekuwa kituko!! Hapa tu janvini ameishapoteza credibility mpaka anadhaniwa ni snitch wa Jiwe!!Ndio maana akina sisi tumetaka kwenda Bungeni kusaidia mambo kama haya
Je, wajua kuna watu wazuri, waadilifu wenye uwezo, wanaotaka kuingia Bungeni kulisaidia Taifa, Bunge na kumsaidia JPM kwa dhati, lakini kwa vile...
P