ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Km vipi afundishe nursery kuna pesa
kama anataka kutoka afanye zote
tutorial ass ipo poa coz anaweza kujiendeleza kimasomo kiraic zaid an mashahara wake hauwez fananisha na wa ualimu.
mishahara ni tofauti sana, Mwalimu wa degree anaeanza kazi Tsh 630000/= wakati tutoria asst 1.2 millMishahara yao ni kiasi gani,mwenye kujua atujuze tafadhari maana dogo kaandikiwa kuwa ngazi yake ya mshahara ni PHTS1.Mwenye kuijua scale hiyo tafadhali atujuze
mishahara ni tofauti sana, Mwalimu wa degree anaeanza kazi Tsh 630000/= wakati tutoria asst 1.2 millMishahara yao ni kiasi gani,mwenye kujua atujuze tafadhari maana dogo kaandikiwa kuwa ngazi yake ya mshahara ni PHTS1.Mwenye kuijua scale hiyo tafadhali atujuze